Hakuna cha big result wala nn hiyo ni kaulimbiu tu kama nyingine zilizopo na zilizopita mfano kilimo kwanza,maisha bora kwa kila mtanzania...nimbinu za wajanja wachache kutumia kodi zetu na kufungua akaunt za nje.
Viongozi hawawezi kuona tatizo hilo sababu watoto wao hawasomi shule hizo,kazi yao kusafirisha magogo na mbao kwenda nchi nyingine badala ya kutumika kutengeneza madawati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.