Recent content by TTembo

  1. T

    Kula ki masihara kulivyo nisababishia maumivu yasiyo pona no.1

    Tupe vitu kaka,,, Sent using Jamii Forums mobile app
  2. T

    2 in 1. Nilitakiwa kuitwa Baba

    Sema hyo mitatu hjaona nyapu,,,kwel ulikuwa mbishi aisee Sent using Jamii Forums mobile app
  3. T

    Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

    Wee jamaa hufaii Sent using Jamii Forums mobile app
  4. T

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  5. T

    Kipi ni afadhali kati ya mwanafunzi na mke wa mtu!

    Bora mwanafunzi,,,ila hakikisha uwe na pesa hata ukikamatw unapooza wazazi maisha yanaendelea,,,BT mke wa mtu baba lazma unaweza usipochezea KY waweza hata kurogwa
  6. T

    Nimepewa siri nashindwa kuitunza (roho inauma)

    Hyo inaitwa ngumu kumeza,,,
  7. T

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Story nyngne hii hapa,,,kipind hcho npo zangu form 6 jiteute(jitegemee),,kwa Mzee baba Afande Mkisi,,home kwetu akawa amelatwa beki 3 mmoja matata sana alikuwa anaitwa Amina,,kalikuwa kanaumbo la wastan(sio mref wala mfup) bt Nyama Nyama zakukamata zlikuwepo kuwepo kalikuwa Maji ya kunde,, Sasa...
  8. T

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Haha hah hah,,,,,,wengne tunapenda kuweka vtu kwa urefu ili mtu aelewe ..
  9. T

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Inaendelea,,,, Basi Mzee baba nkazoa zoa vfurush vyangu pale ubungo nkachukua usafir huyoo mpka home,,,nkapokelewa na b mkubwa pale full furaha kijana karud home,,,mana nlkuwa nna muda kidogo cjatmba Dar,,ila me mda huo akili yangu isharuka inamuwaza yule manzi tuuu,,,,ingawa nikajiapiza cwez...
  10. T

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nami ngoja nisimuilie yangu,,ilikiwa miaka ya 2015 Mzee baba natoka zangu Bukoba(nlpokuwa nafanyia kazi) naenda zangu Dar kwa ajili ya maandalizi ya ndoa,nipo na wife mtarajiwa hapo,,ila ye akashuka kwao Dodoma. Basi tukafka Moro asubuhi mana gari ililala njian katikati ya Dom na Moro,,,basi...
  11. T

    Nilidhani huyu mwenye umri mkubwa atakuwa wa tofauti lakini wapi...

    Tena wanawake wanaokuzidi umri ndo wanakuwa na wivu balaa,,mana wanahisi waweza chepuka na vibinti vya moto moto
  12. T

    Je, ni kweli mademu walio mbali na wenzi wao huchepuka maofisini?

    Fimbo ya mbali haiui nyoka. Me kuna mwana kaoa mwaka jana(n askari) wife wake naye n askari ila wapo mikoa tofauti,,jamaa analia lia tuu kila siku kuwa kuna poti mwenzie anamchapia. So tujitahid sana tuwe na wake zetu karbu
  13. T

    Je, mshahara wa mke huhusika kwenye matumizi mbalimbali ndani ya nyumba?

    Me nadhan hili swala n uelewa wa mwanamke mwenyewe,,,naamin mwanamke mwenye akili atashilikiana na mumewe bega kwa bega kwa kile kidogo anachokipata kwa ajili ya ustawi wa familia. Na me naamin kwa mwanamke ukiwa muwazi kwake kwa kile unachokiingiza na matumizi yako,,nadhan kwake utajilia...
Back
Top Bottom