Recent content by Tshansimba Mubadi

  1. Tshansimba Mubadi

    JamiiForums Tanzania WhatsApp Ban

    Mimi ni mfanyabiashara mdogo nayetumia zaidi WhatsApp Kama njia ya kupata wateja wapya kila siku, ila tangu Hii Sheria mpya iingie inayokataza kuwatumia Txt watu wapya ambao hawajasave namba yako imekuwa changamoto Sana, ukifanya hvyo tu unafungiwa... Naomba msaada kama Kuna njia naweza kutumia...
Back
Top Bottom