Recent content by tshabalala_the_greto

  1. T

    How I Met My Wife

    😂😂Wazee wa kuunga dots
  2. T

    Kuondoka kwa kocha wa Simba MO alitudanganya tatizo ni Offer imejulikana

    Mkuu nilitegemea ungekuja na ushahidi wa 'video' au 'maandishi' ili kuthibitisha tuhuma ulizozitoa lakini naona bado hoja yako imejikita zaidi kwenye HISIA zako binafsi na si vinginevyo...pole sana kaka...taarifa rasmi itabaki kuwa Sven ameondoka Simba Sc. kwa makubaliano ya pande zote mbili...
  3. T

    Kuondoka kwa kocha wa Simba MO alitudanganya tatizo ni Offer imejulikana

    Thibitisha unachokisema Mkuu...ukishindwa kuthibitisha hayo uyasemayo kuhusu MO na Sven yanabaki kuwa hisia zako binafsi.
  4. T

    Kuondoka kwa kocha wa Simba MO alitudanganya tatizo ni Offer imejulikana

    Mkuu siyo kwamba hawakuelewa bali wanafanya kusudi
  5. T

    Kocha Mkuu Sven Ven Der Broeck aachana na Simba SC

    Inategemea na vigezo vilivyotumika kuacha naye
  6. T

    Kocha Mkuu Sven Ven Der Broeck aachana na Simba SC

    Klabu ya soka ya Al-Ahly cairo ya huko nchini Misri katikati ya msimu uliopita wa ligi kuu ya kwao na pamoja na msimu wa klabu bingwa Afrika uliopita walisitisha mkataba na kocha wao Rene Weiler raia wa Switzerland ambaye aliipatia klabu yao mafanikio makubwa....wakasaini kandarasi mpya na kocha...
  7. T

    Kocha Mkuu Sven Ven Der Broeck aachana na Simba SC

    Matola atakaimu kwa hiki kipindi kifupi cha mpito...na amini mpaka kufika mwezi February uongozi utakuwa ameshamleta kocha mpya na bora kama Sven au kumzidi Sven
  8. T

    Simba yawekwa pot 3 kwenye draw ya CAF

    Acha UBISHI basi Mkuu...semi-finalist CAFCL kwa msimu wa mwaka jana ni Al-Ahly Cairo,Zamalek,Wydad Casablanca na Raja Casablanca. Finalist walikuwa Al-Ahly Cairo Vs Zamalek....Al-Ahly Cairo akashinda mechi 2 - 1 akachukua kombe
  9. T

    Simba yawekwa pot 3 kwenye draw ya CAF

    Upo sahihi sana Mkùu SIMBA kuingia MAKUNDI siyo issue sana....hivi nikumbushe YANGA ni lini mara ya mwisho kufika hatua ya MAKUNDI CAF champion league?
  10. T

    Azam offered too little for Airing the plateau vs Simba?

    Mkuu uki-confirm kama SuperSport wataonyesha hiyo game live naomba nijulishe
  11. T

    Azam offered too little for Airing the plateau vs Simba?

    Kwahiyo wamempa nani TV rights za kuonyesha hiyo game live?kwa maana siyo lazima tuiangalie hiyo game kupitia Azam Tv....vipi kuhusu SuperSport ya hapa bongo wanaweza onyesha live hiyo mechi?
  12. T

    Sasa ni rasmi Mechi ya Simba na Plateau haitoonyeshwa Runingani kwa Figisu za Wenyeji hivyo nawaomba Simba niwe Mkuu wa Kamati ya Kulipiza Kisasi

    Mkuu vipi SuperSport ya hapa bongo watarusha hiyo mechi live?au ni kwa SuperSport ya South Africa peke yake?
  13. T

    Uwanja wa New Jos | Ligi ya Mabingwa Afrika' Plateau United Vs Simba SC

    Washirika hahahaa ....mkuu ukimaanisha Zahera ama?
  14. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pole mkuu....mimi machale yalinicheza nikaachana nayo....niliona hiyo league bado ni mbichi so kubashiri ni ngumu....isitoshe game ya mwisho H2H kabla ya hiyo niliona Wrexham alipigwa pia
Back
Top Bottom