MIKUTANO YA BIASHARA - Maonesho ya Saba Saba
AgriProFocus Tanzania ikishirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tan Trade) inaandaa mikutano ya kibiashara itakayofanyika tarehe 2 hadi 6 Julai 2016 kwenye maonesho ya 40 yaKimataifa ya Biashara (maarufu kama saba saba) Dar Es...
Mashirika yaliyochini ya mwamvuli wa mtandao wa AgriProFocus, yanaandaa Jukwaa la vijana lenye lengo ya kuhamashisha vijana kuingia kwenye kilimo biashara kwa kuwakutanisha na fursa mbalimbali zilizoo kwenye sekta hii.
Jukwaa litafanyika tarehe 14 Aprili 2016 jijini Arusha litakaloambatana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.