Tatizo kubwa ninaloliona kwa jamii kubwa hapa duniani ni,IMANI ,hii imeifanya mioyo ya watu kuwa migumu hata kutafakari kwa akili za kawaida uwa ni vigumu sana ,pia soul awakenings,hakuna vitu kama hvi ,mimi nijuavyo sisi pia ni nguvu kuu katika sehemu yake ,na hakuna kitu hatuwezi ila inapasa...