Wakuu hongereni kwa majukumu
Kijana mwenzenu hapa
Nimepangiwa kazi Bunda TC
Ni mwalimu Sekondari, naomba kujua kukoje
Maana shule inaitwa Paulo Jones Sekondary S
chool, naomba mwenyeji wa huko hata aje dm ili nijue pa kuanzia hasa kujua nyumba za kupanga na maisha kwa ujumla
Asanteni
Wakuu hongereni na poleni kwa majukumu
Kwanza namshukuru Mungu kwa mema yote hadi nimefanikiwa kupata kazi serikalini. Mimi ni mwenyeji wa Mikoa ya Kusini ila kwa sasa nipo Arusha hivyo nitatokea huku kuja Arusha kuja Bunda TC
Sasa naomba kujua mazingira yakoje, hali ya hewa,huduma za kijamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.