usipotoshe fanya utafiti kwanza unaweza kuta unatoka na shangingi unasema shangazi mm juzi tu nimepewa 2mil ya mtaji na nimehakikisha anamwaga mpk mayai yake yote. Wahuni nawasihi tukomae na mashangazi tutafute mitaji
Point to note
"Usikubali kufanya maisha na mwanamke ambaye alikupotezea kipindi yuko kwenye ubora wake halafu anaanza kujipendekeza kwako dakika za jioni. Ikiwezekana hit her and run"
natamani ata iyo mimba ikae humo tumboni miezi 15 na ujifungue kwa operation na itakuwa funzo kwako na kwa wanawake wa kariba yako
Siku zote mwisho wa ubaya aibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.