Recent content by TrilJasa1995

  1. TrilJasa1995

    Toa Maoni: Uchaguzi wa Viongozi wa Kitaifa ni September 2014. Nani unataka atuongoze?

    Alphonce Mawazo- M/Kt Taifa Said Issa Mohammed- Katibu Mkuu John Mnyika-Naibu Katibu Mkuu Ben Saanane- M/Kt Bavicha
  2. TrilJasa1995

    Mbunge wa Nkasi mh. Ally Kessy asema Wazanzibar wanachosha, ni mzigo

    Sasa Watanganyika wamekosa nini Hapo?kauli ya mbulumundu mmoja ndio wajumuishwe Na wasio husika??? Round hii jaribuni Tu muone mtiti wake..! Kariakoo,Msasani,Ilala...mtaona pachungu pale..!
  3. TrilJasa1995

    Mahabusu wavua nguo kupinga wenzao kuachiwa

    Ni swala la Muda Tu... mbona si mbali!Wataelewa..
  4. TrilJasa1995

    UVCCM Ina mpango Wa kuchoma Makanisa kama Ukawa watafanya mikutano Zanzibar

    unadhani Kwa hatua tuliyofikia nchi ipo salama tena? Ni swala la muda Tu.
  5. TrilJasa1995

    Nimeamini kuwa CHADEMA wanaipenda Sana TBC

    hahaha Kama umekimbizwa Na mumeo vile.. Acha papara.!
  6. TrilJasa1995

    Bora EAC iwe nchi moja Uhuru Kenyetta awe rais tuondokane na huyu kikwete

    Nashukuru...kilaza mwenzangu Kwa kuchangia hivi 'kilaza at work'...
  7. TrilJasa1995

    Bora EAC iwe nchi moja Uhuru Kenyetta awe rais tuondokane na huyu kikwete

    Uhuru Kenyatta ni rais anaendesha siasa zake za kisayansi tu...mboyoyo mingi hazina nafasi kwake! anafaa kuwa rais wa EA!
  8. TrilJasa1995

    Upotoshwaji unaofanywa na chadema juu ya chama cha act tanzania

    Sera gani hizo mlizoeneza,zaidi ya majungu tu. Mnakiua chama kabla hakijaanza
  9. TrilJasa1995

    Halima Mdee: Mtaji wako nini hasa? Kawe maendeleo yamedorora miaka mitano sasa

    Mkuu,Sio lazima niwe mwanaCCM ndio niseme haya.Ki ukweli watu wanahitaji maendeleo na si porojo za jukwaani!Halima kuonesha kwamba ni CDM,na wana vision ya kubadilisha maisha ya watanzania ilibidi aoneshe hilo Kwa vitendo ila mpaka Sasa hakuna linaloendelea Kwa kweli.. kumbuka wananchi hawajali...
  10. TrilJasa1995

    Halima Mdee: Mtaji wako nini hasa? Kawe maendeleo yamedorora miaka mitano sasa

    Wakazi wa Jimbo la Kawe wapo makini.Huku siasa siasa zisizo na maendeleo huwa hazidumu...Halima ajiandae kuondoka!
  11. TrilJasa1995

    Operesheni ya mwaka mzima yaifuta Ccm Karagwe!

    Chadema imara itajengwa na wananchi wenyewe!
  12. TrilJasa1995

    Lema awashangaza waliokuwa wanambeza!

    Pamoja na kufanya vibaya kwenye uchaguzi wa Jana, ila kamanda lema anahitaji pongezi...Anajitahidi sana kuijenga CDM upande wa Arusha.
  13. TrilJasa1995

    Picha: Ally Bananga awapoteza CCM Arusha, washindwa kufanya mkutano

    Kamanda hao unaowaita wahuni na wanywa viroba ndio watawang"oa madarakani.. Kwani mbali basi,subiri uone kwamba watu wamechoka na kitaa kishanuka. #Nguvu ya Umma.
  14. TrilJasa1995

    Nimerudi toka Operesheni Pamoja Daima, sioni muujiza wa kuiokoa CCM!

    Ni Hakuna Kulala Hiyoo mpaka Kieleweke!
  15. TrilJasa1995

    Arusha na Moshi waichangia CHADEMA Tsh 500,000,000

    Ndio umuhimu wa kuwa na kanda. ushindani kitu muhimu, Kanda nyingine tuchangamke jamani. Tuendelee kukijenga Chama Chetu!
Back
Top Bottom