Habari ndugu,
Naomba kufahamu mifumo ya kutolea huduma za afya kwa mfano GOT-HOMIS na EHMS imewekwa kwa kufatana na hadhi ya hospitali?
Hospitali nyingi za wilaya zinatumia GOTHOMIS na huu mfumo naambiwa na watumiaji kwamba una mashetani mengi kiasi kwamba unapelekea baadhi ya huduma za afya...
Habari, nazidi kutetea WATUMISHI wanaoajiriwa siku hizi maana wanafurahi kuona pdf nyingi zikishuka ila hawajui yaliyopo ndani, Kuna Halmashauri nyingi mpaka Leo hazijawalipa WATUMISHI hao mishahara yao huku sbb ukiwa hawajaingizwa kwenye payroll
Naomba kujua mwenye jukumu la kumuingiza...
Tunaomba wahusika watoke hadharani wawaeleze Hawa vijana walioajiriwa kwenye hizi halmashauri iwapo fedha zao za kujikimu zilitengewa bajeti kabla ya kuajiriwa au inakuaje??
Maana vijana wengi wamekuwa watu wa kukopa bila kujua watapata lini stahiki zao,wanaishi kwenye mwanzo mgumu kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.