Mimi pia niko nje ya Dar, huwa nauza mafua lakini nataka kubadilika niuze viatu vya ulaya ila sijui pa kuanzia. Viatu vya China / Korea vinatoa namba ndogo halafu vinabanduka sana kwenye jua. Viatu vya Ulaya vinatoa namba kubwa halafu vingi vimetumika sana. Mwenye kujua chimbo la viatu original...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.