Recent content by Travis_Kitengo

  1. T

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza hivi zile nafasi za JWTZ watu washaanza kuitwa ??

    Hata mm sielewi ndio nataka kujua
  2. T

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza hivi zile nafasi za JWTZ watu washaanza kuitwa ??

    Wakuu naomba kujua kama tayari watu washaitwa zile kazi za zilizotangazwa april 14, 2026 ? Maana naona tik tok vijana wanapongezana kana kwamba washaanza kuitwa au sisi wengine tuendelee kusubiri tukihitajika tutapigiwa simu kama tulivyoambiwa?
  3. T

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa kuelewesha kuhusu Tangazo la kazi lililotolewa na JWTZ 14.04.2026

    Mkuu ile ni Jw na sio nafasi za JKT
  4. T

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa kuelewesha kuhusu Tangazo la kazi lililotolewa na JWTZ 14.04.2026

    Nimesoma nina profession, nimepita jkt. Currently niko kwenye private sector kama Tutor kwenye college.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa kuelewesha kuhusu Tangazo la kazi lililotolewa na JWTZ 14.04.2026

    I believe in God's Miracles 😁
  6. T

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa kuelewesha kuhusu Tangazo la kazi lililotolewa na JWTZ 14.04.2026

    Hii ndio HQ ya zamani au mpya? Tangazo linasema tupeleke ya Zamani.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa kuelewesha kuhusu Tangazo la kazi lililotolewa na JWTZ 14.04.2026

    Habari za zenu wana JF, Husika na mada hapo juu mimi ni kijana Mtanzania, ambaye nimeona nikajitolee kulitumikia Taifa kupitia Jeshi la Wananchi. Tangazo nililiona na vigezo vyote ninavyo, ila sasa sijaelewa kitu kimoja ambacho naomba msaada wenu kwa ambao mna uzoefu na hili jambo. Shida...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Tanzania Nursing and Midwifery Council (TNMC) matokeo ya leseni mnatoa lini?

    Habar wana Jf Husika na kichwa cha uzi hapo juu, sisi wahitimu ya fani ya uuguzi tulifanya mtihani wa leseni 19 Disemba, 2025 na tulipia huo mtihani laki na nusu! Sasa hawa jamaa muda unazidi kwenda hawatoi matokeo wako busy kukusanya hela za marathon ambazo sisi hazitusaidii, sisi tunataka...
  9. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nakupa vidokezo vya jinsi unavyoweza kutumia maumbile ya kimapenzi ya mwanamke kumfikisha kileleni

    Situmii mikundu Jiheshimu
  10. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nakupa vidokezo vya jinsi unavyoweza kutumia maumbile ya kimapenzi ya mwanamke kumfikisha kileleni

    Unadhani ukiedit hapo inaniumiza,,,,,kama uliruhusu marinda yako yakachanuliwa sina cha kukusaidia wewe mgawa utamu
  11. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nakupa vidokezo vya jinsi unavyoweza kutumia maumbile ya kimapenzi ya mwanamke kumfikisha kileleni

    Naona una post traumatic disorder ya kusuguliwa kinyeo
Back
Top Bottom