Recent content by TRANSPORT

  1. T

    Kidato cha IV 2012 NECTA waanza kupangwa upya daraja la ufaulu

    Wanapoyachakachua haya matokeo,it means kwamba aliyekuwa na zero atapata four ya mwisho (bila shaka au ya mwanzo)... Hawa ndio walimu wa wanetu primary kesho.... ni hatari sana
  2. T

    Nguzo kuu za kweli CHADEMA ni zipi?

    nguzo kuu ya chadema ni UMMA. Yaani watu na ndiyo maana mara nyingi kinashirikisha watu katika kutoa maamuzi
  3. T

    TAHLISO ni vibaraka wa CCM-Wasomi

    nilisema mapema, kwamba CHASO Morogoro kwa sasa si ya kubeza, mara tu baada ya huyu anayejiita mwenyekiti wa TAHLISO kuboronga na kuitaja CHADEMA kama waasisi wa vurugu,makamanda wa Chaso mkoa wa Morogoro wakiongozwa na Ebenezer kwayu, walitoa tamko la kukataa taarifa hiyo na kuhoji uhalali wa...
  4. T

    CHASO Morogoro wapimwe

    Wadau naomba nianze kwa salamu. Kuna jambo la msingi ambalo nimeona nisipowashirikisha ni vibaya. Ni kuhusu harakati za CHASO Mkoa wa Morogoro. Wiki iliyopita ulifanyika uchaguzi uliowapatia majukumu viongozi wapya wa chaso. Viongozi hao ni Ebenezer Kwayu (JONGEA MTANZANIA) anaetokea Mzumbe...
Back
Top Bottom