Recent content by TRANQUILITIST

  1. T

    Asilimia 88 za Lissu zimsaidie Magufuli kujitafakari

    Leo nilikuwa nimelazwa ila baada ya Lisu kushinda nimeomba kuruhusiwa coz nimepata nafuu ghafla.
  2. T

    January Makamba: Kwa asilimia 90 nitajitokeza kugombea urais 2015

    <div><p><strong>Dar es Salaam.</strong> Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ametangaza nia yake ya kuwania urais akisema huu ni wakati wa kupisha fikra mpya kuongoza dola, licha ya chama hicho kuzuia kutangaza nia na kupiga kampeni kabla ya muda.</p></div>...
  3. T

    CHADEMA yazidi kuporomoka Kanda ya ziwa

    Hao waliohudhuria mkutano huo ni walewale vilaza wa kijani na manjano. Mbona mi naipo maeneo hayo sina taarifa hizo? Acha kupotosha watanzania. Kauze udaga wewe.
  4. T

    Mabalozi 6 wa CCM kijiji cha Genge wajiunga CHADEMA jana

    Saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafi saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana
  5. T

    Gazeti la mwananchi lamsihi msajili wa vya kutoegemea chama chochote

    Msajili, Jaji Francis Mutungi Tumesikitishwa na mgogoro kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kiasi cha viongozi wake kudai ofisi hiyo inatumiwa na wasaliti wa chama hicho kutaka kukivuruga. Kiini cha malalamiko ya viongozi hao ni kauli...
  6. T

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    chopa zile ni maandalizi ya 2015 na daftar la wapiga kura. ASANTE.
  7. T

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    Vp hao watu saba wa chadema waliokamatwa walikuwa wameshapiga kura?
  8. T

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    Ritz una vituko kwelkwel. Kwa nin usilinde heshima ya ikulu?
  9. T

    Mwenyekiti wa Chadema ajiunga rasmi muda huu ccm uwanja wa mila

    CHADEMA ni kwa ajili ya makamanda na sio goigoi. Let him join the deads.
  10. T

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Dr. Slaa
  11. T

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Dr. Slaa
  12. T

    Forbes: January Makamba and Mohammed Dewji are among The 10 Most Powerful Men In Africa 2014

    Ha ha ha . Vituko vya uchaguz vimeanza. MAKAMBA???
Back
Top Bottom