<div><p><strong>Dar es Salaam.</strong> Naibu Waziri wa Mawasiliano,
Sayansi na Teknolojia, January Makamba ametangaza nia yake ya kuwania
urais akisema huu ni wakati wa kupisha fikra mpya kuongoza dola, licha
ya chama hicho kuzuia kutangaza nia na kupiga kampeni kabla ya muda.</p></div>...
Hao waliohudhuria mkutano huo ni walewale vilaza wa kijani na manjano. Mbona mi naipo maeneo hayo sina taarifa hizo? Acha kupotosha watanzania. Kauze udaga wewe.
Msajili, Jaji Francis Mutungi
Tumesikitishwa na mgogoro kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kiasi cha viongozi wake kudai ofisi hiyo inatumiwa na wasaliti wa chama hicho kutaka kukivuruga. Kiini cha malalamiko ya viongozi hao ni kauli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.