Recent content by Traffic JF

  1. Traffic JF

    GE2020 Halima Mdee: Natuhumiwa kumchonganisha Gwajima na madhehebu mengine na waumini wake

    Acha afungiwe ,yeye sikazowea kuleta ubabe wake akae siku Saba akili imcheze
  2. Traffic JF

    GE2020 Askofu Gwajima amlaumu Halima Mdee kwa mafuriko ya Dar-es-Salaam siku ya leo

    Titafusilie umesema halima ameamia ccm au?
  3. Traffic JF

    Wazee wa Kimila: Kawe ina wenyewe na huivamii tu kwasababu zako za Kisiasa na hii Mvua hatuiachii mpaka Alhamisi

    Mpka apa tusha waona wazee wa mila na wewe wote wapuuzi ,akuna mvua yoyote ilio zuwia campeni ,endeleeni kupotosha watu tunaenda na gwaji
  4. Traffic JF

    GE2020 CCM inatumia muda mwingi kumsafisha Gwajima lakini hasafishiki

    Kwanza gwajima ni mtu ambaye anatumia akili saana kuliko huwezi hata kumfananisha na wengine Gwajima kawe anatoshaa
  5. Traffic JF

    GE2020 Dkt. Magufuli: Gwajima anachukiwa sana kwa sababu ni mkweli sana. Je, ukweli wake ni upi?

    Hilo ni jambo la ukweli analosema mzee magu wala sio uongo maana gwajima ni mtu mwema saana na sisi tunalitambua hilo ndo mana tutampa kura zetu zooote
  6. Traffic JF

    Gwajima Unakumbuka hii? Ngoja nawe Ukerwe utie akili

    Mkerekwa umepanik Sana inaonekana umevumilia vya kutosha ,sema umefeli ungeseka tangu alivyo wakera umekaa nayo mpka umepata uhakika wa kuwa mbunge ndo una kerekwa ! Mtuachie mbunge wetu tuna muelewa vibaya mnoo atusikii la kuambiwa apa tulipo tuna sikiliza mazuri yake tu ayo mabaya kaa nayo ndo...
  7. Traffic JF

    Gwajima Unaikumbuka hii? Sasa nawe Ukikerwa utasemaje?

    Mimi kama mwananchi mpenda maendeleo shauku yangu ni moja tu kuona nainuka kiuchumi, miundombinu inakua vizuri na ustawi wa maisha ki ujumla. Sichagui kiongozi kwa sababu yuko dini tofauti na yangu, nachagua kiongozi ambaye nitakuwa na uhakika kabisa anaweza kuniletea maendeleo. Kiukweli...
  8. Traffic JF

    GE2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

    Taarifa za uhakika na za kweli nilizozipata ni kwamba Halima Mdee alikuwa hajajiandaa na hakuwa tayari kutuwakilisha sisi wananchi wa Kawe kama mbunge wa kuchaguliwa. Ndio maana kwenye vikao vya ndani vya chama ilibidi Mwenyekiti Mbowe na katibu Mnyika wambembeleze sana na kumuomba afute...
  9. Traffic JF

    GE2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

    Gwajima hoyeeee wakati wako sasa kawe mdee lamba udongo si kweli umetuibia si kweli wewe ni jambazi si kweli wewe ni muongo
  10. Traffic JF

    GE2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

    Amenusa ugoro ni mwendo wa kupiga chafya ,,,,,,,,,,,,, ninge kua mm ndo halima ninge andaa makazi mkoani mapema ili ikifika tarehe 28 tu jioni napanda ndege naenda kujificha uko
  11. Traffic JF

    GE2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

    U Ukiona unawiwa kumchagua mdee ujue na wewe ni jambazi mwenzake
  12. Traffic JF

    GE2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

    Anatuibia saana kawe bora utusaidie kuwajulisha watu wajue ukweli woote ya kwamba hatumtakiii mdee rudi kwenu kawe hujasahau kituu
  13. Traffic JF

    GE2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

    Ndungu zangu wana jamvi habari za muda huu. Leo nimepata wasaha wa kupitia Kitabu cha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya jimbo la kawe (2015-2020) kilichoandikwa na aliyekuwa mbunge wetu Halima James Mdee. Nimeshtushwa sana na nilichokiona kwenye kitabu hiki, naomba kuwashirikisha kitu ambacho...
  14. Traffic JF

    GE2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

    Kiukweli mm Mdee nshamchoka kabisaa nasubiri tu kura yangu nipeleke kwa gwajima
  15. Traffic JF

    GE2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

    Mdee ukionaje njoo ccm tukufundishe namna mambo yanavyofanywa kwa wananchi sio kuandika tu hoja za uongo huko
Back
Top Bottom