Recent content by TRA Tanzania

  1. TRA Tanzania

    DOKEZO Serikali mulikeni kiwanda cha pombe cha Kingdom kilichopo Kalobe Mbeya

    Kwanza kabisa tunakushukuru kwa taarifa hii na kukupongeza kwa kuonyesha uzalendo na kuthamini ulipaji wa kodi.TRA tumechukua taarifa hii kwa uzito wa kipekee na tunaenda fanyia kazi mara moja.Ni kosa kisheria kutowasilisha makato ya kodi katika mshahara na pia kuwa na vileo visivyokuwa na stika...
  2. TRA Tanzania

    TRA inawakarabisha wananchi wote kutembelea banda letu

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inawakarabisha wananchi wote kutembelea banda letu katika uzinduzi wa mbio za mwenge wa Uhuru kitaifa 2024 utakaofanyika katika viwanja vya Chuo kikuu cha Ushirika wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro tarehe 2/4/2024. Aidha TRA itaendelea kutoa elimu ya kodi...
  3. TRA Tanzania

    TRA inapenda kuwakumbusha wafanyabiashara kufanya makadirio mapema

    Tumepokea lalamiko hili na tutalifanyia uchunguzi na ikibainika muhusika atachukuliwa hatua kali za kisheria.TRA tunatoa wito kwa wafanyabiashara wote nchini mnapotembelea ofisi zetu kamwe msikubali toa pesa ili mpate huduma kwani huduma tunazotoa ni bure hazina garama yoyote ile.
  4. TRA Tanzania

    Makadirio TRA foleni inatisha!

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuwataarifu wafanyabiashara wa mkoa wa Dar es Salaam kuwa katika kipindi hiki cha makadirio ya kodi ya mapato imesogeza Huduma ya makadirio na kupewa namba ya Malipo (control Number) katika vituo vyake vya Huduma kama ifuatavyo Ilala : Kitunda karibu na...
  5. TRA Tanzania

    TRA mnajisikiaje kukamua kodi kutoka kwa wafanyabiashara wanaopata hasara kwa kukosa umeme na maji?

    Mlipakodi anatakiwa kulipa kodi ya mapato kulingana na kile anachokipata. Na kwenye kutafuta kile alichopata tunachukua mauzo tunatoa na gharama za kuendeshea shughuli yake ya uchumi. Muhimu ni kwa kila anachonunua kuwe na risiti ya EFD inayothibitisha manunuzi yake. Pia atatoa gharama zingine...
  6. TRA Tanzania

    KERO Wafanyakazi wa TRA ofisi za jengo la SIDO & Mwanjelwa huduma zenu mbovu

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) tumepokea na kuchukulia suala hili kwa namna ya kipekee na kuahidi kulifanyia kazi mara moja. Aidha tunawakumbusha wadau wetu na walipakodi kuwa endapo watakutana na changamoto yoyote wasisite kuwaona Mameneja wetu wa Mikoa au kuwasiliana kwa namba zetu za bure...
  7. TRA Tanzania

    Katavi: Wafanyabiashara wamkataa Afisa wa TRA

    Tunaendelea kuboresha huduma kwa walipakodi na kuongeza uadilifu kwa watumishi wetu wa TRA. Na kuhusu suala la Katavi tunaendelea kulishughulikia kama alivyosema meneja wa Mkoa wa Katavi. Msisite kutoa maoni yenu kwenye semina, mikutano, vipindi vya redio na TV, kupiga simu 0800780078/0800750075...
  8. TRA Tanzania

    Stempu za kodi zashuka hadi 30%

    Stempu za Kodi za KIeletroniki (ETS) zashuka bei.
  9. TRA Tanzania

    DOKEZO TRA hawatumii mifumo ya IQS kujibu Clearing Agent

    Mfumo wa IQS unatumika kujibu wateja pale kunapokuwa na uhitaji wa taarifa za ziada ili kuweza kufanya uthaminishaji wa mzigo husika. Wateja wengi wamekuwa hawaangalii taarifa walizoombwa kwenye iqs mapema na kutoa majibu kwa wakati. Wateja wengi wanaokuja kufuatilia kadhia zao ni wale...
  10. TRA Tanzania

    TRA Tegeta kuna miungu watu

    Asante kwa Taarifa ambayo tumeichukulia kwa uzito mkubwa sana na tunaifanyia kazi. Tunapenda kuwaomba wananchi ushirikiano hasa wanapoona taratibu hazipo sawa wasisite kutoa taarifa WhatsApp: +255 744 233333,namba za simu bure kituo chetu cha huduma 0800 750075 au 0800 780078,ukiukwaji wa...
  11. TRA Tanzania

    Mwenye elimu ya stika hii ya TRA, naomba atueleweshe... mbona bidhaa za Bakhresa Food Products hazina?

    Stempu za kielektroniki za kodi (ETS) zinabandikwa kwenye bidhaa za sigara, maji, juice, bia, mvinyo, soda, CD na DVD. Hivyo siyo kila bidhaa zinatozwa ni zile tu zilizotajwa kwenye sheria ya ushuru wa bidhaa (Excise Duty Act). Na stempu za kielektroniki zipo za karatasi au alama kama...
  12. TRA Tanzania

    Mwenye elimu ya stika hii ya TRA, naomba atueleweshe... mbona bidhaa za Bakhresa Food Products hazina?

    Asante kwa swali. Stika hizi za kieletroniki zinaashiria kuwa bidhaa hiyo imelipiwa au inalipa kodi ya ushuru wa bidhaa. Kazi kubwa ya stika hizi ni kutambua kama kodi hiyo imelipwa au italipwa.Na siyo kwa bidhaa zinazozalishwa ndani tu hata zinazotoka nje ya nchi. Mfano sigara au pombe. Ukitaka...
Back
Top Bottom