Ipo mkoa wa pwani, wilaya mlandizi ( kibaha vjjn) kituo vigwaza unaingia ndan km18 huko ndipo ilipo bandar ya nchi kavu SGR pia itakuwa na kituo pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Afanye biashara ya urembo au vitu vya kike, hasahasa Handbags za jumla unazifata nje ya nchi, achukue frem kariakoo au mwenge....atumie kama 30milion au 40 milion..handbags znalipa
Au afungue pub au bar ya kueleweka pande za dodoma.
Pia atafute eneo afanye ufugaji wa kuku mdogo kama kurelax...
Asante kwa ushauri..lakini kuuza kwa m2 hapana ...ni bora nikaghairisha nililoplan kufanya ....pia naomba uwe na kumbukumbu uko kwala ulipopaita porini jinsi maeneo yatakavyopanda bei soon...nafikiri ungepitia youtube ukaona bandari inayojengwa kwala si ya kitoto..pia yarp merkez wapo kazini...
Kiwanja kipo mahali pazuri, na kuna bandari ya nchi kavu...bei yake haifanai na kwala sehemu nyingine...kipo karibu na ofisi ya serikali za mitaa...kuna sehemu eka moja adi milioni moja na nusu...lakini mtaniwia radhi kiwanja changu kipo sehemu nzuri na thaman yake n tofauti na kwingine
Sent...
Nenda na milion moja yako kwala, tafuta kiwanja pale centr cha bei iyo...ukipata ntakupa na changu bure kama nyongeza
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.