DKT SAMIA SULUHU HASSAN
Kila anapopita, anageuza maeneo kuwa bahari ya watu 🌊. Ni ishara kubwa ya imani na matumaini wananchi walionayo kwa Mama Samia. Oktoba 29 ni kura kwa Mama Samia bila shaka 💚💛.
#Haijapatakutokea
#KurayakwanzaKwaSamia
Mama yetu mpendwa, Rais Samia Suluhu Hassan,
Tunatoa shukrani kwa uwekezaji mkubwa katika elimu.
Kupitia mradi wa SEQUIP, maabara za kisasa zimejengwa
katika Shule ya Sekondari ya Philipo Mulugo iliyopo Kata ya Udinde, Halmashauri ya Wilaya ya Songwe.
Maabara hizi zimekuwa nguzo ya maendeleo ya...
Mama yetu kipenzi, Rais Samia Suluhu Hassan,
Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wako imara,
Nyumba 159 za walimu wa shule za msingi zimejengwa katika Mkoa wa Songwe.
Hatua hii imeleta faraja kubwa,
kwa kuwa sasa walimu wetu wanaishi karibu na shule,
wakipata muda zaidi wa kuwafundisha na...
Mama yetu mpendwa, Rais Samia Suluhu Hassan,
Tunakupongeza na kukushukuru kwa moyo wa huruma na upendo kwa wananchi.
Kupitia uongozi wako imara, wakulima 109,373 wa mkoa wa Songwe
wamenufaika na mbolea ya ruzuku yenye thamani ya shilingi bilioni 75.14.
Ni hatua kubwa inayodhihirisha dhamira...
Rais Samia kipindi cha UONGOZI wake katika mkoa WA Dodoma ametoa zaidi ya 10T katika kuboresha na kuanzisha MIRADI katika mkoa hii kazi nzuri sana inayofanywa na Mheshimiwa Raias wanadodoma tunapaswa kumpa Asante Mheshimiwa RAIS Dkt Samia suluhu Hassan
Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu, ikiwemo kuimarisha miundombinu ya shule na utekelezaji wa elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha sita. Hatua hii inalenga kuhakikisha kila mtoto ana...
Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu, ikiwemo kuimarisha miundombinu ya shule na utekelezaji wa elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha sita. Hatua hii inalenga kuhakikisha kila mtoto ana...
Ameshindwa kuwa kiongozi Mwenye UTU na NCHI yake Ameamua kupambania maslahi yake kulipwa PESA na watu kwajili ya kuhamasisha ujinga kwa baadhi ya watanzania wenye Roho ya Ukawa
#Haijapatakutokea
#Kurayakwanzakwasamia
Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawishi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao
Tunamchagua Dkt. Samia Suluhu kuwa Rais kwa uongozi wa vitendo, mshikamano wa taifa, maendeleo ya wananchi, diplomasia imara na haki kwa wote.
Dkt. Nchimbi kama Makamu wa Rais kwa uzoefu, uadilifu na mshirika thabiti wa maendeleo.
#Haijapatakutokea #kurayakwanzakwasamia
Dkt. Bashiru Ally
Niko hapa kuwaomba kura za Chama Cha Mapinduzi. Kwanza kama mwenyeji wa Dodoma, na pili kwa sababu tumepewa jukumu na Kamati Kuu pamoja na Halmashauri Kuu ya kuratibu shughuli za Kampeni. Mwenyekiti ameshatupa maelekezo akiwa Kawe.” — Dkt. Bashiru
Nguvu ya CCM na uwezo wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.