Recent content by TopStar

  1. TopStar

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Ningependa wana jammi forum mnisaidie juu ya mawazo wa kitu ambacho naeza anzisha kwa million5 na kupata faida zaidi
  2. TopStar

    Nauza pilipili mpaka kilo 200

    Nauza pilipili mbuzi,shamba lipo bagamoyo,kilo 1 ni Tsh.1500 au debe Tsh.10,000 .pilipili zipo katika ubora wake... Kwa anaye hitaji,wasiliana nami kupitia.. -0766767539_voda -0677459677_tigo Nyote mnakaribishwa.. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. TopStar

    Nauza pilipili mpaka kilo 200

    Pilipili mbuzi mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. TopStar

    Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

    Hongera sana kwa mafanikio ulio fikia hadi sasa. -Ningependa kukuuliza juu ya soko ya bidhaa zako za shambani huwa unapata kwa namna gani? -Pia ningeshukuru sana kama ungenisaidia soko la pilipili,nimepanda heka 1 ,ya pili pili na zime stawi kwl nipo mchumo wa kwanza ila naona soko limekuwa...
  5. TopStar

    Nauza pilipili mpaka kilo 200

    Nauza pilipili nilizopanda shambani Bagamoyo kwa anayehitaji anitafute kwenye namba zifuatazo, kwa mawasiliano zaidi. 0766767539_voda 0677459677_tigo Tafadhali mfahamishe na mwezio Sent using Jamii Forums mobile app
  6. TopStar

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    If you dont find a way to make money when u are sleeping,then u will work till u die..... #millioners mind Sent using Jamii Forums mobile app
  7. TopStar

    Msaada: Namna bora ya kusimamia mabasi ya mikoani

    Ntumie muongozo wa kuwapata ,kama unawajua wahusika hawa ..please Sent using Jamii Forums mobile app
  8. TopStar

    Msaada: Namna bora ya kusimamia mabasi ya mikoani

    Naonaga kwny mabasi hasa haya ya kichina,pale juu ya dereva,huwa zina function kwl Sent using Jamii Forums mobile app
  9. TopStar

    Msaada: Namna bora ya kusimamia mabasi ya mikoani

    Unacho sema ni kwl ,japo ni changamoto sana saa zingine kufanya kazi na ndugu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. TopStar

    Msaada: Namna bora ya kusimamia mabasi ya mikoani

    Habari zenu wanajamii forum,bila kupoteza muda nlikiwa naomba maoni na mitazamo mbalimbali juu ya biashara ya mabasi ya mikoani.ningependa kupata ujuzi namna wamiliki wa mabasi ya mikoani hufanya ili kuepusha uwizi wa hela ya mlangoni(hela ya njiani). Pia ningependa kufaham namna uongozi...
Back
Top Bottom