Recent content by Top Boy

  1. Top Boy

    Kariakoo inakuwaje duka Moja la simu Kuna wauzaji zaidi ya 20

    Vijana wengi wanakosea na wanabadilisha maana ya biashara kuwa utapeli, hata humu unakuta mtu ana comment kuwa jamaa kaja kichwa kichwa kwani biashara inataka kufanywa na watu walio wajanja wajanja tu au wahuni? Ndio maana kuna platform za matangazo ili kuwahabarisha hata waliokuwa hawana...
  2. Top Boy

    Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

    Guys huyo mwanamke nipo nae kitambo sana na hayo nilianza kuyashuhudia mie mwenyewe before hata yeye hajajigundua..
  3. Top Boy

    Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

    Dada Joannah asante sitapuuza ushauri wenu humu hata mmoja
  4. Top Boy

    Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

    Sawa mkuu, kwakuwa ni mshikaji wangu sana mbali yakuwa wapenzi nadhani nitatafuta muda wa kudiscuss nae kuhusu haya, maana nilitaka ABC ili nikifanya maongezi nae niwe na pakuanzia kama ushauri wa kutafuta solution kwetu.
  5. Top Boy

    Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

    Sawa nimefurah kwa huu msaada kazi kwetu sasa.
  6. Top Boy

    Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

    Sawa mkuu, ninashukuru sana tena saana, nitaongea nae pia kwenye hili.
  7. Top Boy

    Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

    Nimekupata nashukuru sana kwa ushauri nitamjulisha tuufanyie kazi.
  8. Top Boy

    Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

    Sawa dada nitamshauri tuende hospitali, pia hongera kama kwako yanaenda vizuri.
  9. Top Boy

    Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

    Inatokea mara nyingi tukiwa kwenye raundi nyingine wakati tunaendelea tunajikuta tunaloa damu na mashuka yanaanza kuchafuka...
  10. Top Boy

    Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

    Sasa huyu kafungwa na wazazi wake
  11. Top Boy

    Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

    Mmh hapana bana, kuna muda anasema labda maumbile yako makubwa tofauti na sehemu yangu nambishia kuwa hakuna uhusiano na period.
  12. Top Boy

    Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

    🤣🤣ndugu mshana sijui niwaeleze vipi kuhusu uhusiano wetu, huko hayupo kabisaa...yani sie imekosekana ndoa tu.
Back
Top Bottom