Recent content by too old 4 age

  1. too old 4 age

    Tunapotembea na sehemu za miili yetu zilizokufa....!

    mkuu asante sana ni somo zuri kwakweli,tunatakiwa tu kuwa serious na uwazi wa matatizo yetu hasa huku jf utakuta mtu analeta uzi ambao hata hauna logic ya ukweli wa tatizo au na mwingine just kuweka jokes kwenye tatizo la mwenzake wakati aliyepost pengine yuko serious na hilo tatizo lake,nadhani...
  2. too old 4 age

    Msaada tutani: Mwenzenu sioni raha ya mapenzi

    pole sn dada hapo inabidi umpe moyo mumeo na ikibidi mueleze kwa upole jinsi unavyopata shida lol hajapitia mafunzo ya wazee nn huyo kuwa mke kwanza?!!!!!!!!!!
  3. too old 4 age

    JF ladies come here, special for you!

    wadau swala la chakula labda km yupo home atatakiwa kutake care of it ila itakuwa ngumu muda wote awepo coz cku hzi maisha ni kila mtu kutafuta na hayo mengine mpaka ayafanye nani anampa km c huyo mwanaume na tamaa zake???????!!!!!!!!!!!!!!! cha muhimu baba jiheshimu umchukulie huyo binti km...
  4. too old 4 age

    Are asexuals real?

    nadhani hilo laweza kuwa tatizo la kisaikolojia zaidi coz hyo kazi inahitaji maandalizi zaidi ya kiakili na inabidi apate mtu wa kukaa naye wa kumpa romantic words mpaka asahau yaliyopita km yapo then maisha yaendele tena yatakuwa mazuri balaa
  5. too old 4 age

    Kabla sijampata,nilimdanganya mambo mengi,sasa kakuta mambo ni tofauti,anataka kuni..

    mkuu huyo dada ulimpenda au ulimtamani? kwann umdanganye? kwanza una bahati coz ana mpango wa kuendelea na ww ingekuwa mwingine ndo byebye coz km uliweza kumdanganya kitu kidogo hvo je mengine?
  6. too old 4 age

    WhatsApp Messenger chat Itanivunjia ndoa yangu..

    pole sn dada ila hapo unatakiwa uangalie km hzo picha na chat zina uhusiano wa kimapenzi na zaidi wa kukupa ukweli ni mumeo na c mwingine,pia inawezekana hao wadada ndo wanam -aproach so kuwa makini na chat nani mwanzilishi na je majibu niaje? dili na mumeo mama muulize unachokosea km kipo...
  7. too old 4 age

    Ninaombeni elimu kuhusu hili.

    itasaidia sana ukimckiliza yeye coz ndio mwenye jibu la kweli, inategemea na mtu hyo!!!!!!!!!!!!!
  8. too old 4 age

    Jamaa kanifumania namgegeda mkewe live lakini hajamind

    cjui sna lkn c kuna wale wanaosema kuna kugeuza shuka ulilolalia ili na mwenzio aote the same ishu??!!!!!!!!!!!! ha ha ha ha lol cpati picha!!!!!!!!!!!!!
  9. too old 4 age

    Jamaa kanifumania namgegeda mkewe live lakini hajamind

    pole sn ila hiyo ni ndoto ya kawaida pia umejinenea wewe tu kuwa huna mpango je vp kuhusu shemejio km ye ana mpango huo??
  10. too old 4 age

    Wakuu tushauliane hili suala

    hayo ya ndugu yanasolvika mkuu cha muhimu huyo ni mke wa john na c wa familia!!!!!!!!!!!! well said bna hyo!!!!!!!!!!!
  11. too old 4 age

    Jamani kuwa msimamizi wa harusi ni kazi sana

    sure inaboa ila ningemuuliza bidada km huwa anaongea mwenyewe au anamshirikiksha kwenye hayo maongezi? pia sioni km ni busara kuweka ishu km hiyo ya ububu hadharan hvo b4 ht kumuuliza mhusika pengine angebadilika,hiyo ni kuonyesha udhaifu wenu nje tena bidada aangalie huo usije ukatumika...
  12. too old 4 age

    Wadada, kwa nini mambo haya yameshamiri siku hizi?

    hapo nilipobold umenena vema mkuu big up!
  13. too old 4 age

    Wadada, kwa nini mambo haya yameshamiri siku hizi?

    mkuu inategemea na mtu hali yake iko vp kwa mfano we mwenyewe km c husband material utake wife material wapi na wapi???? tafuta mtu wa type yako mkuu!!!
  14. too old 4 age

    Wadada, kwa nini mambo haya yameshamiri siku hizi?

    hapo nilipobold umenena vema mkuu big up!
  15. too old 4 age

    Nikikutana na mzazi wa mke wangu wangu nanyong'onyea

    poa ila sasa ndo kuwe na masharti na makubaliano c kuendeshwa sn hivyo mpaka upate pressure!
Back
Top Bottom