Hakuna document yoyote ya level ya elimu ambayo unaambatanisha kupeleka NSSF wadai hua wanawasiliana na muajiri na wanafanya investigation kuhusu level ya elimu. Na mimi ni muhanga wa io 33.3% na niliwauliza maswali kuhusu io na majibu ya jinsi gani wanatambua level ya elimu ya mtu ilinitia...
Still hawezi kupata zote mzee.. nimelifwatilia hili na kuliulizia kwenye ofisi za NSSF more than twice wanasema hawaangalii kazi uliokua unaifanya wanachoangalia ni level ya elimu yako
Kwa mujibu wa utaratibu wao kulipwa mafao yako yote hutegemea level yako ya elimu. Kuanzia diploma na kuendelea unatapata 33.3% ya mshahara wako wa mwisho na utapata io hela kila mwisho kwa mwezi kwa miezi isiosidi 6 na Wenye elimu chini ya diploma wanalipwa mafao yao yote hii ni kulingana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.