Uoga Wetu ndio.
..unao tuponza.....ili suala la Daudi angekua Alisha ondoka zamani ofcn kama ......tunge amua kuingia barabarani na kumpinga kwa umoja Wetu.. ...coz mkulu mwenyewe kasema mambo ya mitandao hayampi shida Dawa n upinzani kuitisha mandamano ya kumpinga Daudi.....
Vinginevyo...
Kipindi hicho si kili kua cha division....kama cha sasa ukipata zero maana F masomo yote....na Necta uwa hawatengenez cheti cha MTU aliye pata zero....au ikoje wadau...?
Kutokana na chuki na unafiki tulio nao watanzania madawa ya kulevya hayawezi kuisha na kwanza ndio yatashamili, kwasababu wauzaji wakubwa Wa dawa hizi za kulevya wana ushawishi mkubwa kwenye jamii hvyo wanapo guswa hukingiwa kifua na wanufaika wote Wa dawa za kulevya, kama ilivyo tokea sasa...
Hakuna watu wajinga kama watanzania sio wasomi wala wananchi Wa kawaida....ndio maana tuna fail kila kitu....
>michezo 0
>uchumi 0
>wasomi vilaza 60%
>viwanda 0
Kwa niini...sisi tu fail kila kitu...??
Tatzo: tume kua maskini Wa fikra na kuthubutu .....kupambana.....tunasahau hadi mambo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.