Hakuna mtu kama huyu nani kathibitisha hiki kifo?wanatupigia picha za Watu wa Zambia huko wanatuletea mitandaoni ili watutie Unyonge.....Tumewagundua huyo Dada ni Wa Zambia Sasa!!Ccm juuuu,Magufuli juu,Makonda Juuuuuuuu....!!Mboe(Mbowe) kifo cha mende........Slaa sweden!!asanteeee
Bahati mbaya ninaowajibu hawaandiki unachokiandika wewe mkuu.....!Wanachofanya ni kuattack bila kujua na wao ni sehemu ya tatizo kama siyo chanzo kabisa!wanachotazama wao ni neno Chadema....Ndiyo maana nadiriki kusema tena bila kutafuna neno Chadema wanafuraha juu ya tukio hili na matukio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.