Labda hapa ungenisaidia, hivi Sheria/Kanuni za Bunge zinamtaka Mbunge aishi wapi? Na kama Mbunge atakuwa anaishi nje ya Jimbo lake lakini hapa hapa nchini Sheria/Kanuni inatamkaje kuhusu jambo hilo? Au kanuni imeweka mipaka ya Mbunge anapotakiwa aishi? Kama hakuna Sheria/Kanuni inayomzuia mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.