Recent content by Tom26

  1. T

    Ushauri kwa waajiri katika swala la matangazo ya ajira

    Mimi ni kijana mtanzania ambaye nimemaliza elimu ya chuo kikuu kada ya ualimu wa sayansi na nimehudhuria usaili mara kadhaa na leo nataka nizungumzie swala la matangazo ya ajira kwa taasisi zinazotoa ajira. Ajira ni changamoto ambayo inatukabili vijana wengi sana na inapotokea tangazo la ajira...
  2. T

    Ushauri kwa wito wa waajiri ambao wanatuma matangazo ya ajira ili hali tayari wana mtu wa kujaza nafasi hiyo

    Mimi ni kijana mtanzania ambaye nimemaliza elimu ya chuo kikuu kada ya ualimu wa sayansi na nimehudhuria usaili mara kadhaa na leo nataka nizungumzie swala la matangazo ya ajira kwa taasisi zinazotoa ajira. Ajira ni changamoto ambayo inatukabili vijana wengi sana na inapotokea tangazo la ajira...
  3. T

    SoC01 Kilimo chenye tija

    Kilimo ni moja ya sekta muhimu sana hasa kwa taifa ambalo bado ni changa na lina uhitaji wa kufanya mapinduzi ya viwanda na uchumi kwa ujumla. Kwa upande wa Tanzania kilimo kinatajwa kuwa uti wa mgongo na asilimia kubwa ya watanzania ni wakulima. Japokuwa kilimo kinatajwa kuwa uti wa mgongo...
Back
Top Bottom