Recent content by tofalikazi

  1. T

    Msaada kisheria kwa tukio la ajali hii

    sawa mkuu kwa jinsi nilivyo kuelewa unamaanisha hawa wote A&B wana makosa siyo, na wanawajibika na kumtibia mgojwa siyo, bila wao kutengenezewa vyombo vyao na bima makampuni ya bima zao, na mgonjwa baada ya kuwa kapona wanapashwa kumlipa fidia siyo
  2. T

    Msaada kisheria kwa tukio la ajali hii

    kweli mkuu punda alikufa akufa palepale na mwenye punda hakupatikana
  3. T

    Msaada kisheria kwa tukio la ajali hii

    Habari wana JF, Naomba msaada kueleweshwa juu ya jambo hili kuna ajali iliyo husisha bajaji 2 za kubeba abiria moja ikiwa inatokea upande A na nyingine upande B, zilipokuwa zimesogeleana kupishana iliyo kuwa ikitoka upande B ikapata ajali ya kugonga punda na kumrusha mpaka upande wa pili wa...
Back
Top Bottom