Nataka niwaambie enyi watanzania ambao hamjui siasa kuna siasa chafu na safi, siasa za ndani ya chama na nje ya chama. Hivi ww ujiulizi anaeitwa msaliti wa chama ndo ameibua ufisadi mkubwa ndani ya nchii hii bali hao wanaojitapa eti hawana bei mwz ndo wanaotajwa kwa ufisadi wa inchi hii. Ndugu...
Nimeashangazwa wanojivunia wanajua sheria leo wameshidwa Tundu lissu vip hapo zitto juuuuuuuuuuu onesha watanzania kwamba achana na kusoma uchumi bali unajua kudai haki yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.