Recent content by TMC

  1. TMC

    Naomba msaada wa Kusomeshwa, Nimechaguliwa MUST-Mbeya

    Niliandika barua kwa waziri wa Elimu, pamoja na mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo. Hilo ndilo nililofanya
  2. TMC

    Naomba msaada wa Kusomeshwa, Nimechaguliwa MUST-Mbeya

    Mimi nimeomba wanisajiri,wakasema watanipa usajiri wa muda tu.
  3. TMC

    Naomba msaada wa Kusomeshwa, Nimechaguliwa MUST-Mbeya

    Nimefuatilia kuhusu kupewa , nikaambiwa suala langu linashughulikiwa. Ndiyo maana ninaomba msaada wa pesa hii ili niende kupata usajiri wakati nasubiri mkopo kuletwa chuoni. Form four index ni: S0110/0009/2011
  4. TMC

    JF Mathematics clinic Special thread

    Click to Join T.A.M.C WhatsApp group for COLLEGE, AND OTHER HIGHER LEVELS INCLUDING PROFESSIONAL PEOPLE : MATHS FOR UNIVERSITY ☞+ KUMBUKA: ➊ Unatakiwa kutumia Elimu yako kuelimisha wengine. ➋ Uzi huu unahitaji wanachuo ( hasa wanaosoma masomo yenye mlengo wa Hisabati); Wahitimu wa Chuo kikuu (...
  5. TMC

    Alipata mkopo mara ya kwanza mara ya pili kakosa!

    Ni nani huyo , tuweze kufikisha habari hii sehemu husika?
Back
Top Bottom