Recent content by Tman900

  1. Tman900

    Watanzania wengi bado hawana utimamu wa kukubali kuwa hakuna aliejiumba. imekuwa kawaida sana kudhalilishana kwa mionekano ya miili (Body shaming)

    Mtu mweusi Bado ajawa mwanadamu kamili, huoni Hata Viongizi wetu Hawana utu Wala Fikra za kibinadamu Wala ubinadamu na Haki.
  2. Tman900

    Labda sina exposure ya kutosha ila sijawahi kuona mwanamke amempenda mwanaume

    Hilo mi nalijua mda mrefu sana, mi nilishajenga mpaka nyumba kwa ajiri ya mwanamke ila nikaona Hawa Viumbe ni mashetani na usiwekeze Akili yako na Pesa yako kwa mwanamke utajuta sana, mwanamke haeleweki anataka Nini pia wanawake ni mashetani pia ni Nyoka 100%. Hata Ufanye nn kwa mwanamke...
  3. Tman900

    Labda sina exposure ya kutosha ila sijawahi kuona mwanamke amempenda mwanaume

    Kama kawaida Jana Tu nimelala Chamanzi, Mbagara. Lodge
  4. Tman900

    Labda sina exposure ya kutosha ila sijawahi kuona mwanamke amempenda mwanaume

    Mi Toka nizawaliwe mpka sasa hivi Nina itafuta 50 sijawai kuonana mtu ananipenda au anapeda mtu mwingine. Mi naona Hawa Binadamu wanapenda Kuhudumiwa+ Pesa na uwe ATM machine na Romantic....
  5. Tman900

    Tatizo ni Pesa/Umasikini

    "Binadamu anaamini Ukimpa pesa ndo Unampenda" Ila kiuhalisia Unakua umemnunua indirect seles, na wapo wanaouza Direct sales. Kwa ufupi Wote Wanauza ila wametofautina style ya kuuza tu.
  6. Tman900

    Labda sina exposure ya kutosha ila sijawahi kuona mwanamke amempenda mwanaume

    Tupe ulicho experience ww kama mwanamke anapenda?
  7. Tman900

    Labda sina exposure ya kutosha ila sijawahi kuona mwanamke amempenda mwanaume

    Mi pia sijawai ona mwanamke akipenda ila naona wanawake wanataka Kuhudumiwa + pesa, We uwe kama ATM Machine na uwe Romantic kwake
  8. Tman900

    Unaweza kukisia hisia wanazopitia watu walionunua magari kwa mkopo

    ww unapenda Ngono. Matumizi mabaya ya pesa.
  9. Tman900

    Wanawake na Kuhudumiwa

    Nyeto, haaaa Riverside, Uhasibu, Tandika, 2000k unatoa upwiru
  10. Tman900

    Wanawake na Kuhudumiwa

    Kwa Hivi Sasa katika Jamii kumekua na maongezi au Maneno mengi kuhusu wanawake kuitaji Kuhudumiwa. Kijamii za kiafrika, mwanaume napaswa kuihudumia Familia yako. Na mwanaume unatakiwa kutoa mahari ya kuoa mke na kumtunza/ Kuhudumia. Kwa sasa Hivi Vijana Wengi wanapitia katika hali mbaya ya...
  11. Tman900

    KULEA MTOTO WA KIKE NI GHARAMA ZAIDI KULIKO WAKIUME

    Kutunza Kiumbe Cha Jinsia ya Kike ni Gharama.
  12. Tman900

    𝙈𝙖𝙩𝙪𝙢𝙞𝙯𝙞 𝙮𝙖 𝙨𝙤𝙡𝙖𝙧

    Tumia Taa 3 za Solar 1W kwa uwezo wa hicho kioo kujaza betri.
  13. Tman900

    Kutoa

    Pesa Unayoitoa Haiana Thamani kwa Mtu nae ipokea,ila inathamani kwa mtu alie itolea Jasho kuipata.
Back
Top Bottom