Recent content by Tkman

  1. T

    Kilichonitokea jana baada ya kuamka kula daku saa10, sitakuja kurudia

    Pole mwaya siku nyingn ule lakn usivembewe
  2. T

    SoC04 Jinsi ya kuboresha mifumo ya kielektroniki katika manunuzi ya serikali ili kuondoa rushwa na ubadhirifu

    Kuboresha na kuimarisha mifumo ya kieletroniki ya manunuzi ya serikali ya Tanzania ni hatua muhimu katika kupambana na rushwa na ubadhirifu. Hapa nimeeleza baadhi ya njia za kufanya: Uwazi na Uwajibikaji Kuongeza uwazi kwa kutoa taarifa za manunuzi hadharani kupitia mifumo ya kieletroniki...
  3. T

    Computer4Sale Nauza laptop kali kwa bei kitonga

    Ni zaidi ya ofa. Brand Name: Hp ProBook 640 G1 Generation type: 4th generation Storage: HDD 500gb RAM 8gb (1 out of 2 slots) Processor : Intel(R) Core(TM) i5-4210M CPU @ 2.50GHz (4 CPUS), Display size 14" Intel graphics total 4gb, VRAM 112 mb Battery 🔋 lasts 3hrs+ Bei 380,000/= tu Tupigie...
  4. T

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Ni zaidi ya ofa, 🔥🔥😋 Brand Name : Hp ProBook 640 G1 Generation type : 4th generation Storage: HDD 500gb RAM 8gb (1 out of 2 slots) Processor : Intel(R) Core(TM) i5-4210M CPU @ 2.50GHz (4 CPUS), Display size 14" Intel graphics total 4gb, VRAM 112 mb Battery 🔋 lasts 3hrs+ Bei 380,000/= tu📌
  5. T

    SoC04 Tumia nishati safi hasa gesi ili kutunza uhai wa viumbe hai, kukuza uchumi na maendeleo ya Tanzania

    Tanzania ina hazina ya futi za ujazo trilioni 57.25 za gesi asilia iliyo thibitishwa, kiasi ambacho ni kikubwa kubadili uchumi na kuleta maendeleo kwa taifa la Tanzania, sehemu kubwa ya hazina hiyo ipo katika kina kirefu cha bahari ya Hindi ambayo ni hazina ya futi trilioni 49.5. Pamoja na...
Back
Top Bottom