Kuna haja ya kutoa macho mawili kabisa kwa huyu mtu ambaye kuibuka kwake kipindi hiki kunatia shaka sana kwa watu wa haki. Polepole hajasikika kabisa akigusia matatizo ya watanzania kabisa. Kila mikutano anayofanya amekuwa analia na chama peke yake. Je, anataka kupata nini kwenye kilio chake...
Huwezi kumlinganisha Gwajima na Samia hata siku moja.
Hadi sasa hakuna hata hoja moja ya Gwajima iliyojibiwa. Maneno ya Samia leo yameonyesha uwazi
Ipo siku ukweli wote utakuwa wazi!
Na: Mwananchi Mzalendo
Tarehe: 27 Mei 2025
Siku ya Jumamosi ya wiki iliyopita (24 May 2025), Askofu Josephat Gwajima—Mbunge wa Kawe na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM—alizungumza na waandishi wa habari na kutoa kauli nzito juu ya matukio ya utekaji yanayoendelea kushamiri nchini. Kwa maudhui...
Huyu huyu Gwajima aliyezunguka nchi nzima anasema Samia Hoye ndio agombee 2025?
Yamkini Gwajima anataka kugombea kweli; ila siamini kuwa atagombea 2025. Kuna kitu cha kukiangalia sana kwenye hili; Gwajima na Samia lao ni moja!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.