Mtoto wa nzi nitumie code ya huo mkeka nataka niruke nao kama ulivyo maana jana nilipokea kichapo kitakatifu .......kampuni umeshasema ni fansport bado tu code ya huo mkeka.
Oyaa ni kampuni gani hio nijisajili na nitumie code ya huo mkeka nistake sasa hivi maama tumeshachoka na mikeka ya kipuuzi ya kina JITU BANDIA na shoga linaloitwa Governor of Bettors-GB yani ni mavi matupu.
Sijui kwa nini wenye mikeka ya maana huwaga wanawahi kuondoka kama kina Einsteini na kidi kudi wanabaki makanjanja kama kina Sasa10 na wenzake......yani mtu anatuma mikeka mwaka mzima hautiki hata mmoja ila anaendelea tu kutuma kama lizezeta.
Tokea roll over itangazwe hakuna cha role over wala bibi yake roll over ni maneno matupu bila vitendo, jukwaa wameachiwa makanjanja kina Sasa10 na Pdidy.
🤣🤣 unasubiri mechi zicheze ili uturingishie.....waafrika bhn sasa si ungeweka code tubutue wote.....hapo unasubiri pia france wacheze ili uringishe badala ya kuweka code mapema!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.