Recent content by titanic 7

  1. T

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mtoto wa nzi tuma mkeka wa sub..........matako yao atletico Madrid.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi mbona kama naona 1xbet kuna timu chache au mimi ndio sijui kuitumia???.
  3. T

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Celtic ipi hio mbona match ya Celtic vs lask naiona ipo active kwenye betting companies????
  4. T

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mtoto wa nzi nitumie code ya huo mkeka nataka niruke nao kama ulivyo maana jana nilipokea kichapo kitakatifu .......kampuni umeshasema ni fansport bado tu code ya huo mkeka.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Oyaa ni kampuni gani hio nijisajili na nitumie code ya huo mkeka nistake sasa hivi maama tumeshachoka na mikeka ya kipuuzi ya kina JITU BANDIA na shoga linaloitwa Governor of Bettors-GB yani ni mavi matupu.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sijui kwa nini wenye mikeka ya maana huwaga wanawahi kuondoka kama kina Einsteini na kidi kudi wanabaki makanjanja kama kina Sasa10 na wenzake......yani mtu anatuma mikeka mwaka mzima hautiki hata mmoja ila anaendelea tu kutuma kama lizezeta.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Duuuh ila mikeka ya humu inachekesha sana.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Duuuh Einsteini na kidi kudi rudini humu tulikua tunaona mwanga kidogo ila sasa hivi ni vipigo vitupu hamna afadhali yoyote.
  9. T

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Nilikwambia mpe argentina yani sasa hivi ungekua na 40000x3=120000 hahahahaha
  10. T

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Hahahahaha mpe argentina leo urudishe hela yako.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Ulimpa france ile 60000???
  12. T

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Zile mbwembwe za roll over sijui zimeishia wapi maana duuh.....
  13. T

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tokea roll over itangazwe hakuna cha role over wala bibi yake roll over ni maneno matupu bila vitendo, jukwaa wameachiwa makanjanja kina Sasa10 na Pdidy.
  14. T

    JamiiForums Tanzania Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

    🤣🤣 unasubiri mechi zicheze ili uturingishie.....waafrika bhn sasa si ungeweka code tubutue wote.....hapo unasubiri pia france wacheze ili uringishe badala ya kuweka code mapema!.
Back
Top Bottom