Habari kiongozi kazi zako telegram ziko vizuri sana ila ningeomba uweke timu chache za uhakika zaidi kuliko over 10 match unakuta hakosekani mmoja wa kuchana nashukuru wa basketball [emoji459] nilikua team chache zimetiki
Ukisha fungua akaunti ingia kwenye deposit wanafanya miamala kampuni zote za simu tz ila katika ku deposit mfano umeweka 1000 Kuna sehemu wanakuambia uweke email hasa kwenye mpesa na jina lako la mwanzo ukishafanya hivyo una deposit kama kampuni zingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.