Ivi kwanini jamii ya kiafrica aijikubali ifike wakati wazungu pamoja na waarabu wasiwe nanafasi ya ubora kwenye maisha yetu we only live once tupunguze shobo na ngonzi nyeupe
Ata kama wameshidwa
Kuwaokoa unazani nikiasi gani ao jama wamefeli pakubwa Kwa plan iliyoghalimu vifo zaidi ya watu elfu40 pamoja na viongozi wao Kwa watu ambao hawazidi 300
Mi naona niujinga tu unashikilia mateka afu viongozi wako na askari wanakufa miji inabomolewa hezbollah na Hamas waache ujinga wanatesa watu wa sio na hatia Asa wa mama na watoto
Kwakuangalia wewe unaona watu gani wamepoteza kwenye hii Vita? jamani wanaokufa ni binadamu kama sisi tupendane na tusaminiane dini utaifa tumeukuta na kuuacha ila pumzi ni bora kwa kila mwenye uhai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.