Wanaume wapi unawazungumzia labda nyie wapiga mizinga,?most of you mnadharaulika sababu hamjitambui,mmewaachia majukumu wake zenu wafanye sasa kwa nini asikugeuze mke na yeye awe mwanaume si umetaka kulelewa bhana we kula mema ya nchi acha mkeo akakutafutie
Tumekaa dira tuliwahi kuja kukuomba msaada kwamba tumepotea?since when where?kila mtu ana mahangaiko ya maisha Kila mtu anamvurigiko wa siku sio mwanaume sio mwanamke sasa tukisema Kila mtu alete humu mzee tutatafutana narudia tena komaa na jinamizi lako kama halikuheshimu ni lenyewe na...
Kazi unayo huko uliko,Yaani kama nakuona bundle linavyokuishia unaunga tena ili kuja kuwananga wanawake wa mwaka 2023........unazungumzia miaka ya 1800 kwanza ulikuwepo?nani alikusimulia?unawajua malaya wa enzi hizo walikuwaje?unawajua vibaka wa hiyo miaka walikuwa wanavaaje?unazungumzia mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.