Wanaume wapi unawazungumzia labda nyie wapiga mizinga,?most of you mnadharaulika sababu hamjitambui,mmewaachia majukumu wake zenu wafanye sasa kwa nini asikugeuze mke na yeye awe mwanaume si umetaka kulelewa bhana we kula mema ya nchi acha mkeo akakutafutie
Tumekaa dira tuliwahi kuja kukuomba msaada kwamba tumepotea?since when where?kila mtu ana mahangaiko ya maisha Kila mtu anamvurigiko wa siku sio mwanaume sio mwanamke sasa tukisema Kila mtu alete humu mzee tutatafutana narudia tena komaa na jinamizi lako kama halikuheshimu ni lenyewe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.