Recent content by tinkibiruka mhaya

  1. T

    Huyu Dogo naye rasmi kwa wajenzi huru!

    Nimempenda huyo kaka mwenye shati sijui suti nyeusi,waungwana nisaidieni awe shemeji yenu
  2. T

    Msisubiri mpaka huyu kijana afe ndio mumpe maua yake

    Libebe,Halafu kuna ule kama bonge la boya nimetulizana kwenye kiota changu hizi nyimbo nazipenda sana
  3. T

    Shakira alianza kushtuka Pique alikuwa anamcheat sababu ya Jam kwenye fridge

    Yaani uvumilie uchafu wa boxer man uzinzi juu
  4. T

    Couple hizi zitavunjika

    Halafu ukikiangalia unaweza sema is very innocent kumbe kilipua mabomu
  5. T

    Couple hizi zitavunjika

    Yaani kiukweli nawapenda sana hawa watu
  6. T

    Shakira alianza kushtuka Pique alikuwa anamcheat sababu ya Jam kwenye fridge

    Yaani wananikwaza mimi hawa kina Abdallah boxer chafu uzinzi wanavyouhalalisha kama jambo la kheri vile
  7. T

    Shakira alianza kushtuka Pique alikuwa anamcheat sababu ya Jam kwenye fridge

    😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆mkuu nini kimekuvuruga
  8. T

    Jamani yupo wapi "First Lady" Josephine Mushumbushi (Mrs Dr Slaa)

    yupo Canada,kwa maelezo zaidi nenda hapo kwao kiloleli kaonane na mama yake Bibi Mushumbusi
  9. T

    Mrisho Mpoto ana ugomvi gani na viatu?

    Mtu asiyevaa viatu miguu yake iwe misafi hivyo
  10. T

    Zamani mavazi yalitambulisha jinsia (Wanawake haswa)

    😂😂😂😂mbona aunt muddy
  11. T

    Watoto wa kiume wa Anorld Schwazzeneger

    😂😂😂😂😂😂😂tusekelege tena
  12. T

    Zamani mavazi yalitambulisha jinsia (Wanawake haswa)

    Wanaume wapi unawazungumzia labda nyie wapiga mizinga,?most of you mnadharaulika sababu hamjitambui,mmewaachia majukumu wake zenu wafanye sasa kwa nini asikugeuze mke na yeye awe mwanaume si umetaka kulelewa bhana we kula mema ya nchi acha mkeo akakutafutie
  13. T

    Zamani mavazi yalitambulisha jinsia (Wanawake haswa)

    Tumekaa dira tuliwahi kuja kukuomba msaada kwamba tumepotea?since when where?kila mtu ana mahangaiko ya maisha Kila mtu anamvurigiko wa siku sio mwanaume sio mwanamke sasa tukisema Kila mtu alete humu mzee tutatafutana narudia tena komaa na jinamizi lako kama halikuheshimu ni lenyewe na...
Back
Top Bottom