Recent content by tinkibiruka mhaya

  1. T

    Shakira alianza kushtuka Pique alikuwa anamcheat sababu ya Jam kwenye fridge

    Yaani uvumilie uchafu wa boxer man uzinzi juu
  2. T

    Couple hizi zitavunjika

    Halafu ukikiangalia unaweza sema is very innocent kumbe kilipua mabomu
  3. T

    Couple hizi zitavunjika

    Yaani kiukweli nawapenda sana hawa watu
  4. T

    Shakira alianza kushtuka Pique alikuwa anamcheat sababu ya Jam kwenye fridge

    Yaani wananikwaza mimi hawa kina Abdallah boxer chafu uzinzi wanavyouhalalisha kama jambo la kheri vile
  5. T

    Shakira alianza kushtuka Pique alikuwa anamcheat sababu ya Jam kwenye fridge

    😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆mkuu nini kimekuvuruga
  6. T

    Jamani yupo wapi "First Lady" Josephine Mushumbushi (Mrs Dr Slaa)

    yupo Canada,kwa maelezo zaidi nenda hapo kwao kiloleli kaonane na mama yake Bibi Mushumbusi
  7. T

    Mrisho Mpoto ana ugomvi gani na viatu?

    Mtu asiyevaa viatu miguu yake iwe misafi hivyo
  8. T

    Zamani mavazi yalitambulisha jinsia (Wanawake haswa)

    😂😂😂😂mbona aunt muddy
  9. T

    Watoto wa kiume wa Anorld Schwazzeneger

    😂😂😂😂😂😂😂tusekelege tena
  10. T

    Zamani mavazi yalitambulisha jinsia (Wanawake haswa)

    Wanaume wapi unawazungumzia labda nyie wapiga mizinga,?most of you mnadharaulika sababu hamjitambui,mmewaachia majukumu wake zenu wafanye sasa kwa nini asikugeuze mke na yeye awe mwanaume si umetaka kulelewa bhana we kula mema ya nchi acha mkeo akakutafutie
  11. T

    Zamani mavazi yalitambulisha jinsia (Wanawake haswa)

    Tumekaa dira tuliwahi kuja kukuomba msaada kwamba tumepotea?since when where?kila mtu ana mahangaiko ya maisha Kila mtu anamvurigiko wa siku sio mwanaume sio mwanamke sasa tukisema Kila mtu alete humu mzee tutatafutana narudia tena komaa na jinamizi lako kama halikuheshimu ni lenyewe na...
  12. T

    Zamani mavazi yalitambulisha jinsia (Wanawake haswa)

    Kazi unayo huko uliko,Yaani kama nakuona bundle linavyokuishia unaunga tena ili kuja kuwananga wanawake wa mwaka 2023........unazungumzia miaka ya 1800 kwanza ulikuwepo?nani alikusimulia?unawajua malaya wa enzi hizo walikuwaje?unawajua vibaka wa hiyo miaka walikuwa wanavaaje?unazungumzia mwaka...
Back
Top Bottom