Propaganda kama hizi ndio nasema. Miji kama Mariupol ilitekwa lakini lazima Ukraine itajaribu kuficha ukweli kwa kukana. Lazima pande zote zitadanganya ili kuficha loses. Lazima ufanye utafiti wa ndani sana na ukiwa makini ndipo upate ukweli.
Kuna propaganda nyingi sana. Pande zote (Ukraine &Russia) waongo. Usiamini chochote unachoona mtandaoni! Mimi nli-block Youtube channel zote za vita hivi.
Watu weusi tuna shida nyinyi sana. Moja wapo ni internalized inferiority complex ambapo huwa tunawaona watu wa nje kama wako juu kutushinda. Mtu mwuesi anamdhamini Mchina/Mzungu/Mwanarabu kuliko mtu weusi mwenzake. Ndio maana mtu mweusi akiwa na mwanamke mzungu/mwarabu atajiona bwingwa na pia...
Nimeona kuna wengi humu wenye akili butu. Hizi ndio voting patterns za last elections za Ukraine. Kama nchi yenu haina shida na ethnicity well and good. Lakini maeneo mengine ethnicity ndio kila kitu,especially the Balkans and former soviet countries. Kusema mambo ya ethnicity yamepitwa na...
Hivi umeketi ukajiuliza wakaazi wa Crimea wanatakaje? Wenyewe walipiga kura kwa 2014 2014 referendum wakaamua kujitenga. Kama unavyona kwenye ramani, wakaazi wa Crimea na magharibi mwa Ukraine wote ni ethnic Russians, na wamekuwa wakinyanyaswa na ethnic Ukranians.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.