Recent content by Tinda

  1. T

    Mh. Sophia Mwakagenda(CHADEMA) atunukiwa Tuzo ya Mwanamke Bora

    Mwanamke wewe Mpende mwenzako muda wote wivu.... khaaaa
  2. T

    Lema: Baba yake Ben Saanane aliniambia, ''Ben ni mwanangu, sio mbuzi yangu, nisaidieni kumtafuta''

    Kama huwezi kujenga hoja nia afadhali uache maana "Serikali ilipelekewa msg na Namba ya simu aliyotishiwa nayo saa8, kwanini hawaja mkamata au ndiyo sawa na aliye mtishia Nappe maana naye sio Polisi ila ni .....?"
  3. T

    Lema: Baba yake Ben Saanane aliniambia, ''Ben ni mwanangu, sio mbuzi yangu, nisaidieni kumtafuta''

    Kwahiyo POLISI na TIS wameshindwa kuwakamata chadema kama kweli ndiyo wanaohusika? Je Siwalipelekewa Namba na Mh. Lisu kuhusu mshukiwa No1? Au tunajisahaulisha ili kurushia Madongo CDM? Tuwe wakweli Serikali inajua kinacho endelea.
  4. T

    NIMERIDHISHWA NA AJIBU YA MH. MBOWE JUU YA KUPOTEA KWA SAANANE!

    Ili kujua nani kafanya haya sikiliza kwa wahusika utajua muda si mrefu, maana nao wapo kazini na ni jukumu lao la kikatiba. Vilevile.
  5. T

    Nina Mashaka sana kuwa kupotea kwa Ben Saanane ndiyo operesheni UKUTA

    Kwanini unatafuta majibu ya kujihami? kama ni chadema tunataka polisi watuambie na kama ni mtu mwingine vilevile polisi watuambie. Polisi ni jukumu lao hilo, ILA KWA JINSI UNAVYO TETEA inaonekana kuna kitu hapo.
  6. T

    Nina Mashaka sana kuwa kupotea kwa Ben Saanane ndiyo operesheni UKUTA

    Huwezi ficha moto kwa karatasi la plastiki. You know for sure nani moto utachoma tu hilo plastiki. Polisi wakiwa wapi Mbowe na Lwakatare wafanye hivyo? Namba ya simu wamepewa, sasa wana fikiri tutoke vipi maana tu uchi.
  7. T

    Nina Mashaka sana kuwa kupotea kwa Ben Saanane ndiyo operesheni UKUTA

    Akili ya kushikiwa ina matatizo maana wakitoa sahani ya chakula tumbo linauma.
  8. T

    Nina Mashaka sana kuwa kupotea kwa Ben Saanane ndiyo operesheni UKUTA

    Kwahiyo hujui kwanini watu wanataka polisi watoe taarifa? au ndio namna ya kuomba upewe cheo? maana serikali inakitengo cha polisi kwaajili hiyo, sasa wewe uking'ang'ania mbowe atueleze, kama ni yeye kafanya hivyo hatasema mpaka vyombo husika kama polisi wa mhoji lakini yote kwa yote polisi ni...
  9. T

    Waziri Mkuu: Wabunge ndio wana haki na kinga ya kujadili utendaji wa serikali bungeni, sio wananchi

    HAKUNA SEHEMU YOYOTE KATIKA KATIBA YA TANZANIA INAYO MKATAZA MWANANHI WA KAWAIDA KUJADILI UTENDAJI KAZI WA SERIKALI, Kama ipo IONYESHE.
  10. T

    Tundu Lissu aitwa tena Jeshi la Polisi, ni kuhusu kauli yake ya jana Kisutu

    Tundu Lisu ni mwana siasa na mwana sheria, anajua lugha ya kisheria na lugha ya siasa ndio maana hana wasiwasi, ila mwenzangu na mimi unatokwa na maneno ya ziada kwani vipi?
  11. T

    Lissu: Serikali hii (ya Magufuli) ni ya hovyo, huyu dikteta uchwara anahitaji kupingwa na kila mwananchi

    UKITUKANA hoja yako haionekani, kinacho onekana ni matusi tu. Je mimi nitakuelewaje?
  12. T

    Lissu: Serikali hii (ya Magufuli) ni ya hovyo, huyu dikteta uchwara anahitaji kupingwa na kila mwananchi

    Ukisikia nenda shule, haina maana uende eneo la shule. Bali UENDE KUJI ELIMISHA. Shule sio majengo ila ni ELIMU
Back
Top Bottom