Jaman mm nasumbuliwa na maumivu ya misuli na koo kuuma na kuhisi kama kuna kitu kimenikaba, vichomi mwili mzima pamoja na mwili kuwasha halafu natoka vipele na pia kukosa nguvu kabisa yani. Naombeni msaada wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.