Ukizijua kanuni za dunia utopata tabu kuishi,kesho yako inajengwa Leo,watatamani waifute historia aifutiki,tukiwa wakubwa sasa utotoni tulifanya mengi ya kijinga ya utoto.Kila mwanadamu utengeneza anguko lake mwenyewe
Wamefanya hivo ili kabla ajarudi kufungua kesi tyr wawe na MTU wao na mahakama itapiga danadana hadi uchaguzi mkuu 2020 ufike. Wamehofia kukutana macho bungeni na MTU waliyemtakia mabaya, moyo umeumbwa na aibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.