Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Tulipokuwa tukishughulikiwa wanasiasa nyie viongozi wa dini mlijitenga kanakwamba nyie hayawahusu, mchezo ni uleule kama walivyojitenga wanahabari kisha wakashughulikiwa, wakajitenga wafanyabiashara kisha wakashughulikiwa,
Na sasa ni zamu ya eneo hili la kiroho kushughulikiwa kikamilifu, tena nyie mmepigwa pacha, kwanza ni ngoma ya marufuku ya makelele ya kwaya na azana, kisha kodi ya milioni kumi kwa mwaka kila mpiga kelele, na ukipiga kelele faini ya milioni kumi. Na sasa ni uhakiki wa taasisi zenu.
Baba Magu kazi uzi, nafikiri ipigwe marufuku kuongoza taasisi ya kidini, kanisa, msikiti na kujiita mchungaji, nabii, kuhahani, shehe, maalimu, imamu nk bila kuwa na elimu ngazi ya shahada moja na kuendelea.
Mbona mtanyooka na kuwa kama moja dadeki. CCM hapo hapo msilegeze hadi waimbe nyimbo ya "Usinipite Jiwe, usinipiteee, unapodhuru wengine, usinipiteee x 2".
Na Yeriko Nyerere
Na sasa ni zamu ya eneo hili la kiroho kushughulikiwa kikamilifu, tena nyie mmepigwa pacha, kwanza ni ngoma ya marufuku ya makelele ya kwaya na azana, kisha kodi ya milioni kumi kwa mwaka kila mpiga kelele, na ukipiga kelele faini ya milioni kumi. Na sasa ni uhakiki wa taasisi zenu.
Baba Magu kazi uzi, nafikiri ipigwe marufuku kuongoza taasisi ya kidini, kanisa, msikiti na kujiita mchungaji, nabii, kuhahani, shehe, maalimu, imamu nk bila kuwa na elimu ngazi ya shahada moja na kuendelea.
Mbona mtanyooka na kuwa kama moja dadeki. CCM hapo hapo msilegeze hadi waimbe nyimbo ya "Usinipite Jiwe, usinipiteee, unapodhuru wengine, usinipiteee x 2".
Na Yeriko Nyerere