Medicine degree miaka 5
Pharmacy degree miaka 4
Hii ndio Tanzania..internship mwaka mmoja kwa kila mmoja so ni miaka 6 kwa 5...Sio 6 kwa 4 kama ulivyoandika wewe! Fanya utafiti
Huo ni mtaala wa South Africa, fanya tafiti kuhusu mtaala wa Tanzania ndio utoe hoja yako. Naomba unitajie chuo unachofundisha huko South Africa tuone hiyo curriculum yao ya pharmacy
Unapotosha sana wewe! Pharmacist anasoma pharmacotherapy akiwa mwaka wa nne, ndani ya hiyo course kuna components za pathophysiology na kabla ya hapo amesoma physiology, pathology, microbiology na biochemistry sasa unaposema hawezi kubaini ugonjwa unapotosha umma ingawa diagnosis sio kazi yake...
Tanzania degree ya pharmacy inasomwa miaka 4 na degree ya udaktari ni miaka 5. Tuache kuandika bila kufanya utafiti japo kidogo wa kile tunachoandika! Acha upotoshaji!
Acha watu wachangie uchumi wa nchi! Upite darajani bure halafu pesa za kulipia gharama za huo ujenzi zitoke wapi? Au waongeze VAT? Au waongeze PAYE? Mtu kama hawezi kupita darajani akapite kwa pantoni kama nayo hawezi ahame toka kigamboni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.