Si ajabu hata hukufuatili hiyo ibada, walio fuatilia waliiona na walishuhudia, walio elewa nini kilikua kinafanyika waliea, wewe baki na fuvu lako hilo endelea kulikaza
Kuna stand mpya mwenge na haina magari zaidi ya yanayo kwenda mabibo, kwanini wasifute TLB ya mawasiliano wawape ya Mwenge ikiwezekana na gari za kwenda gerezani na posta zianzie mwenge, maana ile stand ni kubwa na haina inachofanya
Utaua wangapi!? Hamna mtu atakae barikiwa na program hii hata hao wanaopewa amri za kufanya haya yote ni basi tu kila mtu anafanya kishingo upande na ndio maana kunatokea makosa mengi na ya wazi kiasi kwamba hata watoto wadogo wanabaini kila kitu bila kuuliza swali
laana na aibu kubwa sana hii " panya kaloa " na bado utamona mtu kwenye press akihamasisha wananchi kama sie yeye anae husika, aisee kuna watu hawamuogopi Mungu, hawana aibu wala soni na hawana ubinadamu kabisa
Yaani! Hivi hii mission lengo lake ni nini haswa, na hata baada ya mission hiyo wanategemea nini, maana kila wanaeruka nae wanatokea wengine kadhaa, ina saidia nini, na sasa imekua too much yaani too much
Aisee! Hapo ndio utagundua damu za watu ni mbaya, yaani unasahau hata impact ya swala unalo kabiliana nalo, kwani wangekubali wanae tangu mwanzo walikua wanapungua nini au ndio MISSION TERMINATED
Yule ndugu akiambiwa athibitishe kama aliyo yachapisha kwenye kurasa zake za mtandao kua ni kweli, unadhani nini kinatokea kama sio huyo mafwele kuitwa mahakamani, na shahidi namba moja wa kumtambua mafwele ni sativa ambae alimuona na anauhakika nae maana yeye ni muhanga wa huyo mafwele
Hiyo kesi ya bonny kuna mahala ikifika lazima huyo mafwele afike mahakani ndio hapo na sativa ataenda kumthibitisha na hapo ndio kila mmoja ataondoka na haki yake hiyo subiri uive bw mdogo
Pole sana ndugu kwa kuondokewa na mpedwa wako, pole sana.
Msafara kabla haujapita hua kuna maandalizi ya msafara huo kupita na baada mazingira ya msafara kukaa sawa kuna king'ora kinapita kwanza either diffender au pikipiki, huyu mjombaa yeye haya yote hakuona
Vitu kama hivyo vikitokea unatakiwa kukaa kimya na kujifanya hujui kinachoendelea hata kama umeshiriki, yeye mwenyewe mgawaji hawezi akawa anapishana na wewe bila kuona aibu na lazima awe na swali kichwani kwake kua kama ikitokea ishu nyingine ata i operate vipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.