Mbona muna mlaumu mleta mada bila sababu, yeye ni mgeni kule kukutana na Mtanzania mwenzake ghafla wakati anasubiri usafiri wake,
Ameongea nae kwa muda mchache aliokuwa pale
Sasa nyinyi mulitaka ambebe mgongoni!,
Kwa maelezo ya jamaa huyo mtu
Kajielezea tu kuwa Mtanzania na kazi alizozifanya...
Umekuja kumsaidia,
Ok ni Ivi mleta mada hoja yake ni hii
Mashuleni mwetu tunaamishwa kuwa binadamu wa kwanza aliishi Tanzania,
Alafu akauliza, Watanzania tumeshindwaje
kuitawala dunia,?
Jamaa yako akamjibu kuwa C kweli kwamba mtanzania wa kwanza alipatikana au aliishi tanzania
Alafu tena...
Wewe ndio hujaelewa kinachoongelewa kwenye mada hii
Ebu soma kwa kutulia angalia ulichoandika,
Ivi unawezaje kutofautisha Wahadzabe na Wakhoisani kuwa c uzao wetu huu tulionao
Ebu nipe Fact hao uliowataja uzao wao ni upi n cc wengine uzao wetu ni upi?
Jamani hawa wake zetu ni wasiri
Sana kwenye isue ya watoto, watoto wengi sana tunaowalea mama zao ndio wanajua damu zao halisi,
Pia tambua hata cc wababa tuna watoto wetu wengi tu wanalelewa na wababa wengine,
Ebu jiulize ni mbegu ngapi umezipanda kwenye mashamba tofauti alafu ukazipotezea...
Wewe nawe acha kusingizia msichana wa kazi
Tatizo liko kwa mkewe
Angelikuwa ni huyo msichana wa kazi angebeba mzigo wote asepe nao,
Ila yaelekea jamaa kaoa mke mjanja kuliko yeye,
Kwanza huyo jamaa hana maadili ya Ndoa
kwasababu hii isue ni ya chumbani kwake na mke wake lakini anaitoa...
Yaani Namuhurumia huyo jamaa
Yaelekea hata cku akimfumania mkewe anatoka nyumba ya kulala wageni,
Ataambiwa eti yule kaka alikuwa ananitongoza kule ndani
Then atakuja kutuuliza cc huku jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.