Nliomba cheti kipya kwenye mfumo wa RITA tarehe 7/5/2026 kwa ajili ya verification na mpaka leo hii 23/6/2026 sijapewa mrejesho kama rejected or? na nlisubiria maombi yarudishwe ili nirekebishe attachment nliyoweka awali lkn mpaka sasa hawajarejesha na nmeshindwa kufanya baadhi ya procedures...
Kumekuwa na Madai ya kwamba matumizi ya mboga za majani aina ya chainizi yamekua na madhara katika ufanisi wa tendo la ndoa kwa wanaume. Kuna ukweli gani katika hilo suala?
Naomba nijibiwe kitaalam niweze kuelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.