Recent content by TIGOTIGO

  1. TIGOTIGO

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    Nauli sasa ni mia 450. Kama huna 50 kama chenchi watakwambia hatuna chench,, mwisho wa cku unaiacha
  2. TIGOTIGO

    Heslb vifo

    si kwmba ameleta utumbo.,,tuache utomaso usio na maana. Mm nimeshuhudia kw macho yangu wanafunzi wanne wakianguka netcafe baada ya kukosa mkopo na mwingine mpaka sasa ana drip hospital. Hali ni mbaya. Ila naomba tuwasaidie namna ya ku appeal
  3. TIGOTIGO

    Udom- bed.guco

    Jamani wadau,,nimechaguliwa udom bachelor of education in guidance and couceling. Lakini nimekosa kabisa mkopo toka loan board. Nasikia huwa kunakuwa na ku appeal bodi. Naombeni mwenye kujua process za ku appeal anisaidie. Ntaanzaje?
  4. TIGOTIGO

    Dawa za kurefusha na kunenepesha uume na njia mbadala

    IF DAT IS TRUE,,BASI HEBU TUPIA CONTACTS ZAKO ILI TUKUTAFUTE. KAMA VP UNAWEZA KUTUPIA UR CONTACTS KWENYE KA E-MAIL HAKA...erically11@yahoo.com ILI TUKU FIND!! OKOA JAHAZI, VJANA WANAHANGAIKA BRO
  5. TIGOTIGO

    Uhaba wa maji UDOM na athari zake...

    Tatizo la maji chuo kikuu cha Dodoma linatesa sana wasomi ambao wapo eneo hili. Nawaonea huruma sana mabinti na wanawake ambao wapo hapa kwani inafika wakati inawalazimu kutoka nje ya chuo na kwenda kijijini kutafuta maji. Maana hawa wenzetu ni tofauti sana na sisi wanaume! ======= Oktoba 20...
Back
Top Bottom