Strategia gani hiyo ya kimya kimya itakupatia kura kwa ajli ya kushika dora..... hao ccm wenyewe fairplay wanaogopa mpaka uwasemee ACT wapo kimipango zaidi ili waendelee kupotea.
Kama sio uadui kwanini watu wanapigwa risasi wengine wanatekwa na kupotezwa... fahamu siasa zetu ni vita kwasababu watu hawataki kutoka kwenye mamlaka kwa maslai yao.
Haya masuala ya Imani Wakatoliki wanafanya kwa akili zao .. toka lini utakatifu wa mtu ukaonwa na mwanadamu haya mambo yalisababisha nikahama dhehebu yaani hata kama wewe mlevi sana ikiwa tu jumuiya hukosi siku ukifa wanasema ameenda mbinguni ... nani aliwaambia kapokelewa.
Usidharau elimu za watu hao UVCCM wanaaangalia maslai yao binafsi si kwamba hawafahamu umuhimu wa katiba mpya kwasababu ukiwa field wanaozungumzia katiba mpya ni hao hao la saba na form 4 kwanza hawana hofu kwasababu hawana cha kupoteza kwanza wasomi ndo wasaliti na huwa wanakatisha watu tamaa...
Hawa Uhamiaji ni wasumbufu sana kwa Watanzania tunapotaka kuvuka border au kuingia kwenye border zetu wenyewe kuliko hata wageni wakiona unatoka nje ya Nchi tu basi kwao ni dili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.