Recent content by thuwainize

  1. thuwainize

    Kumekucha: Wanajeshi wa Ukraine Wafika Mpakani mwa Urusi

    Warusi wa kibongo watakwambia majeshi ya russia bado yapo Kyiev na tena watakwambia Zelensky mbona ashakimbia nchi
  2. thuwainize

    Kumekucha: Wanajeshi wa Ukraine Wafika Mpakani mwa Urusi

    Kweli hizi ni propaganda tu kwani vyombo vya habari vya Syria, Korea Kaskazini, Iran vinasemaje mkuu?
  3. thuwainize

    Nimeshangaa sana kumbe bado Mrusi anapigana Mariupol, nilijua alimaliza mchezo kitambo

    Ukraine troops counter-attacking near the north-eastern city of Kharkiv have reached the Russian border, says the regional governor Troops restored a Ukrainian sign marking the border, says Oleh Sinegubov, while video purports to show soldiers at the frontier Ukrainian forces have been retaking...
  4. thuwainize

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Sources nyingi sana zinasema kwa mwaka 2022 GDP yake itashuka kutoka ilipokuwa 2021 na hii ni fact wala haihitaji kujua uchumi kwa vikwazo alivyowekewa, gharama za kugharamia vita inayoendelea, uzalishaji wa huduma na bidhaa ambazo tayari ushapigwa dafrau hiyo GDP inapandanje kwa mfano?
  5. thuwainize

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    russia mwenyewe amekung'utwa (kashindwa vita) na Duchy of poland, sweden Lituania, France, Turky, Britain, Japan, Latvia, Estonia, Georgia, Ukraine, na unaona kabisa kuna nchi nimezilist hapo baada ya kushindwa vita hizo nchi zikawa huru, aliisaidia ethiopia kivita ili eritrea isijitenge...
  6. thuwainize

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Putin hana muda mrefu wa kuendelea kuwa madarakani.....soon kuna mabadiliko ya utawala yatatokea na Kiongozi mpya atakayeingia hawezi kuwa na siasa kali kama za Putin maana russia ipo hoi kwa sasa ili kuwaplease wananchi kiongozi atakayeingia atajikuta hana budi kukubaliana na masharti kadhaa ya...
  7. thuwainize

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Russia keshadundwa huko kharkiv mpaka kaiachia kala kipigo cha mbwa koko yaan ni mwendo wa kutema viazi vya moto huku wanapigwa ambush za kufa mtu kweli urusi supachawa tena wa mchongo.
  8. thuwainize

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwamba strategist analysts wa western hawakuyawaza haya na hata sasa hawajayawaza ..........
  9. thuwainize

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Aisee video, na picha za hilo tukio zinasikitisha sana Luhansk hapo russia anakula kisago cha mbwa koko pro russia watakwambia za zamani hizo watakwambia mbona za kwenye movie
  10. thuwainize

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Vijimanati vimemfurusha russia kyiev na Luhansk russia yamewakuta makubwa leo
  11. thuwainize

    Miji yenye mikwanja mirefu duniani

    hapana kwa viwango vya kirusi hauwezi ingia kwenye 10 bora
  12. thuwainize

    Mshirika wa karibu wa Rais Putin azionya Nchi za Magharibi

    yaaan wanatishiaga nyuklia as if ni kitu kigen sana duniani na wanacho wao tu US alishatestigi live tena miaka zaidi ya 70 iliyopita na NATO walivyo wakorofi wala hawana habari nao ndo kwanza misaada inaongezeka kwa ukraine Ana vikwazo vinaongezeka kwa russia, meli za russia zinalipuliwa...
  13. thuwainize

    Miji yenye mikwanja mirefu duniani

    Kweli Moscow ilibidi iwe ya Kwanza, ya pili St Petersburg ya tatu Pyongyang then Beijing halaf Caracas halaf Tehran, then Damacus halaf Gaza
Back
Top Bottom