Hizo customs bonded house kwanza ni vituo vya kukwepa kodi tu. Hebu fikiri kama lengo la kufungua bandari kavu kibaha ni kuondoa foleni hivi vituo vya kuchukulia mizigo wanasambaza ni jini kwa nia gani. Sasa hiizi bohari za kutozea ushuru wanaziita bandari kavu kimakosa au kusudi kupotosha huku...
Prof Assad alikosea sana kumuamini Zitto Kabwe kwamba Magufuli aliyekuta uteuzi wake toka JK katiba inamzuia kumtimua. Mtu msomi hakuweza kutambua kwamba rais wa jamhuri tena msomi kama magufuli hashindwi kikatiba kukutoa kwenye nafasi uliyoteuliwa na rais wa jamhuri.
Tangu atenguliwe miaka...
Msioelewa nchi hii kuna vuta ni kuvute kati ya viongozi wazalendo na viongozi wapigaji. Mwendo wa kimagufuli uliwapa pigo kubwa wapigaji ambao mwisho wakafanikiwa kumuengua magufuli kwa njia wanajua wenyewe. Wameapiza kwamba siasa na falsafa ya uongozi nchini kamwe mwendo wa kimagufuli usipewe...
Msioelewa nchi hii kuna vuta ni kuvute kati ya viongozi wazalendo na viongozi wapigaji. Mwendo wa kimagufuli uliwapa pigo kubwa wapigaji ambao mwisho wakafanikiwa kumuengua magufuli kwa njia wanajua wenyewe. Wameapiza kwamba siasa na falsafa ya uongozi nchini kamwe mwendo wa kimagufuli usipewe...
Sukuma gang au mwendo wa kimagufuli hawawezi kabisa kua kitu kimoja na wale wanajiita wanaharakati kwa sababu wanaharakari lao ni tofauti na wanafadhiliwa na nchi za kibeberu.
Huyu mtu ni bomu linalotembea tu linaweza kulipukia popote. Sasa tuna vyama vingi utawezaje kusema wafanya biashara wasifanye siasa? Wakiwa wafanyakazi na wakulima tu utaweza kuwazuia wasiwe wafanya biashara? Je una chama chenye nidhamu ya kuweza kuzuia wafanya biashara wasiingie bungeni...
Hao unawaita sukuma gang hawapo na kina mange kimambi wala chadema wenye kutaka demokrasia ya kiliberali. Uliberali ni hatari kwa uhuru wa taifa kwani unatoa mwanya mabeberu kuweka watu wao kuongoza taifa kwa manufaa yao. Hao unawaita sukuma gang ni wanaccm wazalendo. Ni kundi la wanaccm...
Tumshukuru Magufuli kwa kutimiza kuhamisha makao makuu ya Taifa Dodoma kufuatana na uamuzi wa baba wa taifa zaidi ya miaka 50 iliyopita. Karibu Marais wote waliyofuata hasa waswahili wa pwani hawakulipendelea suala la kuhamisha makao makuu kwenda dodoma.
Baada ya Nyerere, Mwinyi hakutoa...
Nasisitiza Magufuli alikua anazingatia sana katiba na sheria. Wasiopenda haki hawakumpenda kwa wao kutaka kutumia sheria kuepa haki au kufanya biashara ya kuuza haki kupitia sheria.
Mayalla ujue hakunaga demokrasia kamili kana unawaza demokrasia ya kiliberali. Ukweli kunakuaga na utawala wa haki na utawala wa kidhalimu.
Kuhusu Samia huyu ndio kabananga demokrasia kuanzia kwenye chama chake. Kisha kaja mwenyewe uchaguzi mkuu kajisimamisha kugombea peke yake. Ukweli hapakua...
Kuwepo kwenye anga la watu hao ni hatari. Ni vyema wamarekani watusahau kwani kwa historia nchi yetu haichezi michezo ya kua kibaraka wao. Ukweli kama nchi nyingi tunaiogopa nchi hiyo yenye hila mbaya nyingi. Sisi tunataka kuheshimiwa uhuru wetu.
Magufuli alisimamia haki na sheria kwa ukakamavu na kuongoza serikali imara. Fisadi na dhulumati wanapenda kuwepo serikali corrupt na legelege yenye kutoa mwanya kwa fisadi na dhulumati kutumia uwezo wao wa fedha kununua haki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.