Kumbe wametuma barua hata me pia sijapata hiyo barua yao ina maana wameshindwa hata kutuma msg hawa jamaa hawapo serious kbs yan wanazingua sana au ndio vile aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa ila poa tu
Sorry wadau me nimesoma IT na niuliomba nafasi TRA kama assistant preventive officer lakini sijapata email yao kuitwa kwenye interview. Naomba kuuliza watu wa IT hawana qualification za kufanya kazi kama preventive officer
Habari wana Jamii Forum? Hivi ile interview ya written ya LAPF tuliyofanya mwaka jana mwishoni pale DUCE majibu yalishatoka? Kwa mwenye taarifa msaada tafadhari
Habari zenu wadau? Naomba updates za interview za PCCB kwa ambaye ameshafanya tayari zime-base ktk nini hasa? Kwa mwenye taarifa tu. Thank you in advance!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.